TAARIFA MUHIMU KUTOKA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 1 October 2016

TAARIFA MUHIMU KUTOKA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU


Bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB)
Imetoa majina ya wanafunziwaliokosea kujaza fomu kwa kutoweka sain zao ama za wadhamin wao na vitu vngine.
Bodi imewataka wafike katika ofisi zao zilzopo jijini Dar es salaam kuanzia tar.03/10/2016  mwisho tar. 07/10/2016
HESLB
 wametoa majina 2649 ya watu waliokosea mambo mbalimbali katika kujaza fomu haya ni:
  1. -kukosekana picha ya mdhamini
  2. -kukosekana sahihi ya mwanafunzi
  3. -kukosekana sahihi ya wakili au mahakama
  4. -kukosekana kwa sahihi ya serikali ya kijiji

Tafadhari tembelea LINK HII HAPA CHINI

BONYEZA HAPA KUONA MAJINA NA MAELEZO

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us