Hii hapa Habari njema kwa watumiaji wote wa Facebook | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 29 March 2017

Hii hapa Habari njema kwa watumiaji wote wa Facebook


Baada ya Instagram kuanzisha Insta Stories, mtindo ulioipandisha chat Snapchat, Facebook nayo imekuja na mtindo huo kwenye app yake.

Kupitia app ya Facebook, sasa unaweza kushare matukio/stories na kuona kile marafiki zako wamekifanya kwa saa 24. Juu ya Facebook app, utaona picha za duara zinazowakilisha story walizoziweka marafiki zako na ukibonyeza, utaona picha, video ama michoro waliyoweka.

Baada ya saa 24, post hizo zitapotea na hazitaonekana tena.

Kwa maana hiyo Facebook sasa imeanzisha stories kwenye app zake zote, Facebook, Messenger, Instagram na Whatsapp. Hadi sasa Instagram stories zimekuwa na mafanikio makubwa.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us