Amber Lulu: Hata Kichaa Natembea Naye, Kikubwa.. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 29 April 2017

Amber Lulu: Hata Kichaa Natembea Naye, Kikubwa..


MODO ‘aliyepinda’ Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa, yeye linapokuja suala la kuchagua mwanaume wa kuwa naye kimapenzi wala hachagui, anachoangalia ni kuridhishwa faragha.

Akizungumza na gazeti hili juzikati, Amber Lulu alisema kuwa watu wengi wanadhani ili mwanamke ayafurahie mapenzi lazima awe na mpenzi mwenye mali nyingi au anayemiliki magari ya kifahari wakati kwake yeye ni tofauti.

“Mimi naweza kutembea hata na kichaa, kikubwa awe anajua ‘kuu-take care’ (kuuhudumia) msambwanda wangu, lakini pia mwanaume wa kuwa na mimi kikubwa ajue kunipa furaha, haijalishi ni mtu wa aina gani, yaani hata chizi,” alisema Amber Lulu.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us