kimenuka!! Majasusi wa Marekani Waanza Kuingia Korea Kaskazini Tayari kwa Vita..Siri Nzito za Silaha za Nyuklia za Korea Zaifichuliwa. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 16 April 2017

kimenuka!! Majasusi wa Marekani Waanza Kuingia Korea Kaskazini Tayari kwa Vita..Siri Nzito za Silaha za Nyuklia za Korea Zaifichuliwa.


Hii habari ya majasusi wa USA, majasusi hawa wa America wenye Asili ya korea wamejipenyeza ndani ya korea kaskazi kuanzia December mwaka jana 

Na kwa taarifa zilizovuja Rais wa korea kaskazin ameamuru kusitisha Visa kwa raia wanaotoka nchi za magharibi kutokuingia North Korea kwa muda usiojulikana 

Pia ametoa wito kwa raia wazalendo wa korea kaskazin kutoa taarifa kwa mtu yeyote wanaemshukia hana maadili ya korea kaskazin 

Siku ya jumapili iliyopta wanajeshi watatu wamenyongwa korea kaskazin wakishutumiwa kuvujisha mipango ya jeshi Lao kwa jeshi la USA 

Pia Rais wa korea kaskazin jana alia muru kurushwa kwa kombora kwa siri kubwa ambalo badae lilifeli na mwana jeshi moja wa korea kaskazin anasemekana alituma kila kitu kilichofanyika makao mkuu pentagon 

Ndio maana Leo mkuu wa idara ya jeshi u pande wa peninsula alitangazaa kushindwa kwa kombora lililorushwa la North Korea kufeli vibaya 

Mike pence, makamu Rais wa USA Ambaye yupo njian kuelekea South Korea 

Inasemekana ameambatana na nyambizi zisizoonekana katika peninsula ya korea kaskazin 

Majasusi wa USA wamenasa mawaasiliano kati ya wazir wa mambo ya nje ya urusi, wakiwasiliana na wenzao wa China Pmj na uturuki na North Korea na iran 

Wakat huo huo makao Rais pence anawasiliana na Donald Trump akiwa njian kuelekea South Korea 

Wazir wa mambo ya nje wa uingereza amempigia simu wazir wa mambo ya kigeni wa USA kumhakikishia juu ya North Korea kurusha kombora lililofeli 

Na Inasemekana usiku mzima wa jana Rais Trump alikuwa kwenye mazungumzo mazito na waziri wa ulinzi wa USA pamoja na mkuu wa majeshi 

Wakuu ni baampa to baampa 

Mimi naomba USA asipagane Ase, maana madhara yake yatakuwa ni kwa dunia nzima 

Namwomba Mungu awaongoze washauri wa Trump wasimshauri kuvamia North Korea 

Wamshauri kuiwekea vikwazo tu 

We need peace and not war

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us