Penzi la Jack Wolper na Harmonize Chali...Harmonize Apata Mzungu Mwenye Pesa Chafu | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday 23 April 2017

Penzi la Jack Wolper na Harmonize Chali...Harmonize Apata Mzungu Mwenye Pesa Chafu

Za kunyapia nyapia zinadai kwamba hakuna tena mapenzi baina ya mastaa @harmonize_tz  na mwanadada @wolperstylish. 

Shilawadu wanadai kwamba Harmonize kwasasa ana toka na mrembo flani hivi wa kizungu na tayari mrembo huyo ni mjamzito na inasemekana kibendi hicho ni cha Harmonize.

Soudy Brown amewatafuta wawili hao bila mafanikio na kuamua kumvutia waya meneja waHarmonize, Babu Tale. ili aweze kutupa angalau ukweli juu ya suala hilo..lakini Babu Tale akasema hayo hayamuhusu yeye ana manage muziki wa Harmonize na sio mapenzi.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us