WANAOSHANGAA Tanzania Kuomba Afrika Kusini Msaada Huenda Wakawa Hawajui Haya | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 12 May 2017

WANAOSHANGAA Tanzania Kuomba Afrika Kusini Msaada Huenda Wakawa Hawajui Haya



Sasa mnashangaa nini Tanzania kuomba Afrika ya Kusini.

Hivi mmesahau jinsi tulivyowasaidia hawa tena buree.

Tuliwapa ofisi.

Tulwalipa mishahara.

Tukatoa jeshi letu kuwafundisha mapigano.

Tuliwapa silaha za kivita , magari ,vifaru.

Walikula ng'ombe wetu na kuku wetu.

Wakaoa na kuzaa na dada zetu.

Kiufupi Uhuru wao tumeutengeneza sisi Tanzania.

Tulitoa fedha za Watanzania kwa ajili ya ukombozi wa ndugu zao wa Afrika ya Kusini.

Leo isiwe nongwa , acheni watulipe fadhila kwa wema tuliowatendea.

Mahusiano na yadumu. 

Afrika ni moja na itabakia kua moja .

By Chiwinga A.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us