Guardiola amzima Mourinho Old Trafford | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 10 September 2016

Guardiola amzima Mourinho Old Trafford


TIMU ya Manchester City leo imeshinda mabao 2 – 1 dhidi ya Manchester United  katika mchezo mkali uliopigwa Uwanja wa Old Trafford. Mabao yote yalifungwa kipindi cha kwanza, wafungaji kwa upande wa Man City ni De Bruyne aliyetupia dakika ya 15 kisha Iheanacho akaongeza la pili dakika ya 36, bao pekee la wenyeji Man United liliwekwa kimiani na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 42.

MANCHESTER UNITED: De Gea, Valencia, Bailly, Blind, Shaw, Pogba, Fellaini, Mkhitaryan (Herrera), Rooney, Lingard (Rashford), Ibrahimovic 
Subs: Mata, Martial, Smalling, Romero, Schneiderlin
Booked: Bailly, Fellaini, Ibrahimovic
Scorer: Ibrahimovic 
MANCHESTER CITY: Bravo, Sagna, Stones, Otamendi, Kolarov, De Bruyne (Zabaleta), Fernandinho, Silva, Sterling (Sane), Iheanacho (Fernando), Nolito 
Subs: Caballero, Jesus Navas, Clichy, Garcia
Booked: Silva
Scorers: De Bruyne, Iheanacho

Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kufunga bao la kuongoza dhidi ya Manchester Utd leo katika Uwanja wa Old Trafford.

De Bruyne akipiga shuti ambalo ndilo lilizaa bao la kwanza kwa Man City, huku kipa  wa Manchester United, David de Gea (kulia) akijitahidi kutaka kuokoa lakini alishindwa.

Mourinho (kushoto) na  Guardiola wakifuatilia mechi hiyo.

Wachezaji wa Man City wakishangilia.

Ibrahimovic akishangilia baada ya kuifungia Man Utd bao.

Kocha wa Man Utd, Mourinho akitoa maelezo kwa wachezaji wake (hawapo pichani) baada ya mchezaji wake kufanyiwa faulo.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us