Kifaa cha Kuchemshia Maji Chateketeza Kiwanda, 15 Wafariki Duniua | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 10 September 2016

Kifaa cha Kuchemshia Maji Chateketeza Kiwanda, 15 Wafariki Duniua

 WATU 15 wamepoteza maisha nchini Bangladesh baada ya moto mkubwa uliosababishwa na mlipuko wa kifaa cha kuchemsha maji katika kiwanda kimoja.

Zaidi ya watu 70 wamejeruhiwa kwenye tukio hilo lililotokea pembeni mwa Mji Mkuu wa nchi hiyo, Dhaka, na inaarifiwa kwamba huenda idadi ya walioaga dunia ikaongezeka zaidi.

Polisi wanasema kwamba zaidi ya watu 100 walikuwa wakifanya kazi katika kiwanda hicho, na kwamba moto huo ulisambaa kwa kasi katika jengo hilo la ghorofa nne.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us