COLLABO NYINGINE NDANI YA WCB KATI YA DIAMOND PLATNUMZ NA RICH MAVOKO KUFANYIKA HIVI KARIBUNI. | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday 2 November 2016

COLLABO NYINGINE NDANI YA WCB KATI YA DIAMOND PLATNUMZ NA RICH MAVOKO KUFANYIKA HIVI KARIBUNI.


Kuna kila dalili ya kufanyika collabo nyingine ambayo haijawahi tokea ndani ya Crew ya WCB  kati ya Boss wa label hiyo kubwa ya muziki hapa nchini na nje ya nchi,  Nassib Abdul "DIAMOND PLATNUMZ"  na Rich Mavoko ambaye ni moja kati ya wasanii wakubwa waliojiunga na  label hiyo. Diamond platnumz ameshafanya kolabo na baadhi ya wasanii ndani ya label hiyo akiwemo Harmonize na wimbo wa " BADO" pia Raymond au Rayvanny na wimbo Salome uliotoka miezi michache iliyopita. Tusubiri na tuone itakavyokuwa.
USISAHAU KUTOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us