Makalio yangu ni Orijino sio mchina - Snura | KINGAZI BLOG

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday 19 May 2017

Makalio yangu ni Orijino sio mchina - Snura


Msanii wa bongo fleva Snura Mushi maarufu kama Malkia wa uswazi mwenye 'hit song' ya 'nionee wivu' amefunguka na kudai hajawahi kutumia dawa za kichina za kuongeza makalio kama watu wanavyomwambia bali umbo lake ni 'original'.

Snura amesema hayo kupitia eNewz kutoka EATV baada ya watu wengi kuamini mwanadada huyo anatumia dawa za kuongeza maungo yake ya mwili kama baadhi ya wanawake wengine wa mjini wanavyofanya ili waweze kuwapata kuwanasa wanaume kiuwepesi zaidi.


“Nina utofauti kidogo jinsi nilivyoumbwa mimi kiukweli ukiacha hiyo shepu yangu watu wanayoiongelea …Mimi ukiniangalia tu unajua tu ni ‘Original’ kwa sababu kwanza naweza kuongeza kalio kwa kuliongeza lakini je na nilivyokatika ? naweza kuchukua kisu nikajichimba, mimi nilivyo hapa katikati nimetumbukia kabisa yaani nimegawa mgongo pekee yake na chini peke yake". Alisema Snura

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us