KINGAZI BLOG: 11/16/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 16 November 2016

TANGAZA BIASHARA YOYOTE NA KINGAZITZ BLOG KWA BEI NAFUU YA SH 30,000/ KWA MWEZI UWAFIKIE ZAIDI YA WATU 100,000 KWA SIKU.

SASA KINGAZI BLOG INAKUPA OFFER YA KUTANGAZA BIASHARA YAKO KWA BEI NAFUU WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA HIZI 0716528779/ 075554272...

JOKATE MA CALISAH WA WEMA KUNA NINI KATI YAO HEBU SOMA HAPA.

Watu Wabaya, Picha ya Jokate ya zamani akiwa amekumbatiana na Calisah imeubuliwa na kuzua sintofahamu huku wengine wakisema Jokate alishatoka na Mwanaume huyo ambae amekuwa gumzokipindi hiki baada ya kutoka na Wema Sepetu na kusemekana anavujisha Picha za Faragha akiwa na Wema... Jokate amejibu kwa kuandika haya...

Wanafunzi watumia Vyeti FEKI vya vifo Kupata mikopo Elimu ya Juu

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imebaini kuwepo kwa baadhi ya wanafunzi ambao wamewasilisha vyeti feki vya vifo vya wazazi wao ili waonekane kama ni watoto yatima; hivyo wapewe kipaumbele cha kupatiwa mkopo. Kuwepo kwa vyeti hivyo vya bandia kumegunduliwa na bodi hiyo baada ya kupeleka nakala za vyeti vyote vya vifo ofisi ya Msajili wa Vizazi na Vifo (Rita) kwa ajili ya uthibitisho...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Novemba 16

...

VYOO VYA KUKAA VINA STAREHE KUBWA LAKINI NI ‘MAJANGA’ KWA WATUMIAJI

Waswahili husema, ‘nyumba ni choo’, wakiwa na maana kuwa nyumba haiwezi kuwa kamili bila kuwa na huduma hiyo ya choo. Hata hivyo, pamoja na umuhimu wa choo, lakini si kila nyumba iliyo na choo au hata zile ambazo zina huduma hiyo, basi vyoo ni vibovu, havina hadhi. Zipo aina mbalimbali za vyoo kwa matumizi ya binadamu katika maisha yake ya kawaida. Vyoo vina matumizi mengi ingawa  bado ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us