KINGAZI BLOG: 08/29/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 29 August 2016

Maajabu!! Aliyefariki miaka 200 iliyopita apatikana tena akiwa hai

Dk Barry Kerzin ndiye alieufanyia uchunguzi mwili huo na kuthibitisha kuwa binadamu huyo aliishi mnamo karne ya nne au ya sita kabla ya kuzaliwa kristo na tangu alipofariki ni zaidi ya miaka 200 imepita. Wananchi wa eneo hilo wanaamini jambo hilo lina imani za kishirikina ndani yake na wengine wakidai mizimu hiyo huonekana mara kwa mara nchini Indi...

ASAMOH GYAN arudi kwa kishindo Uingereza.

Nahodha wa kikosi cha soka nchini Ghana Asamoah Gyan anatarajiwa kujiunga na klabu ya Reading kwa mkopo kutoka timu ya China Shanghai SIPG. Mchezaji huyo wa zamani wa klabu ya Sunderland anafanyiwa ukaguzi wa matibabu na klabu hiyo ya daraja la kwanza. Gyan aliifungia mabao 30 Sunderland alipoichezea timu hiyo kwa misimu miwili,kutoka mwaka 2010 kabla ya kuelekea Al-Ain ya Umoja wa Milki za kiarabu...

Mkutano wa Kamati kuu ya CHADEMA wavurugika baada ya polisi kuingilia kati. Lowasa, Mbowe, Mnyika washikiliwa.

Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kilichokuwa kinafanyika katika Hoteli ya Giraffe iliyopo Mbezi jijini Dar, kimezingirwa na jeshi la polisi huku viongozi wake wakikamatwa na kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi cha Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano. Akizungumzia kukamatwa kwa viongozi hao Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu alisema waliokamatwa na polisi kwa ajili ya mahojiano ni Edward Lowassa,...

Laana!! MTOTO WA MIAKA 14 AFUMWA GEST NA JIBABA LA MIAKA 60

August 29 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea Hekaheka iliyotokea Tanga ambapo mzee mmoja kafumaniwa na mkewe akiwa na mtoto wa shule wa miaka 14. Mjomba wa mtoto ameeleza kuwa mtoto amekuwa akijiandaa asubuhi na mapema sana na anaaga anaenda shule lakini anapitia kwa huyo mzee na baadaye muda wa saa moja anaena shule…… Mahusiano yameanza tangia January, mpaka sasa hivi ni...

Hebu jionee photos za, warembo wenye shepu bomba zaidi duniani

...

Chuchu Hans: Nikiwa na Ray Nahisi Kama Dunia Yote ni Yangu

Miss Tanga mwaka 2005, Chuchu Hans amesema kuwa ndani ya mahusiano ya kimapenzi na staa wa filamu, Ray Kigosi anajiona kama dunia yote ni yake. Muigizaji huyo amesema anajisikia furaha sana jinsi anavyoishi kwa kusikilizana na mpenzi wake huyo. “Nikiwa na Ray wangu, huwa nahisi kama dunia yote ni yangu, Ray ananidekeza sana,”Chuchu aliliambia gazeti la Mtanzania.“Ana mapenzi ya kweli, ananipenda...

Mastaa Hawa Wamekopi na Kupesti Hadi Nywele

 Harmonize Andrew Carlos MASTAA wa Bongo bwana! Baada ya kukopi na kupesti staili ya kuimba na biti zao nyingi kufanana na za Sauz na Nigeria ni kama wamehamia kwenye staili mpya ya usukwaji nywele inayotumika hasa kwa mastaa nchini Marekani. Ukiwaangalia muonekano wa vichwa vyao, baadhi ya mastaa hawa wakiongozwa na Jux, Romy Jones, Harmonize na wengine kibao utagundua kuna kitu wamekopi...

SHKODRAN MUSTAFI ALIITOSA CITY, AKABANIWA NA MOYES SASA YUPO NA WENGER

Na Athumani Adam Tetesi zimekuwa kweli mapema wiki hii pale Arsene wenger alipokamilisha usajili wa beki Shkodran Mustafi. Usajili wa beki huyo Mjerumani mwenye miaka 24 kutoka klabu ya Valencia ya kule nchini Hispania utasaidia kuziba nafasi zilizopo kwenye safu ya ulinzi ya Arsenal ukizingatia Per Mertesacker bado anasumbuliwa na majeraha Ikiwa bado mashabiki wa Arsenal wana furaha ya ujio wa...

Pichaz: Hatimaye Drake na Rihanna Wapeana Mahaba Hadharani

 Couple inayoendelea ku "make" headlines za dunia imezidi kupamba moto baada ya DRAKE NA RIHANNA  kuonesha ulimwengu kuwa mapenzi yao kwa sasa hayafichiki hebu ona pichja hizi hapa ...

STERLING AJA KIVINGINE, CITY YALA VYA KUCHINJA

Ni kama vile Guardiola anatengeneza timu ambayo itakuwa tishio sana katika ligi kuu ya Uingereza kwa namna ambayo amekuwa akipangilia kikosi chake na namna ambavyo wachezaji wamekuwa wakitoa matokeo kwa klabu hiyo. Timu imeongeza kujiamini kwa ujumla na pia baadhi ya wachezaji wamepanda kiwango huku majukumu kwa baadhi pia yakiwa yamebadilika na kuwa tofauti kiasi. Sergio Kun Aguero anaonekana...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya Agosti 29

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us