
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu kwa kuwasimamisha kazi Polisi 12 waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Pongezi hizo zimetolewa na Rais huyo mapema Jumatatu hii, Ikulu jijini Dar es Salaam, wakati wa kumuapisha Mkuu mpya wa majeshi, Luteni Jenerali Venance S. Mabeyo.
“Naomba nitoe...