KINGAZI BLOG: 02/06/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 6 February 2017

Rais Magufuli atoa kauli hii kuhusu sakata la madawa ya kulevya na list ya Makonda.

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu kwa kuwasimamisha kazi Polisi 12 waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya. Pongezi hizo zimetolewa na Rais huyo mapema Jumatatu hii, Ikulu jijini Dar es Salaam, wakati wa kumuapisha Mkuu mpya wa majeshi, Luteni Jenerali Venance S. Mabeyo. “Naomba nitoe...

Diamond, Alikiba na Navy Kenzo Washinda Tuzo za Hipipo za Uganda..!!!

Diamond Platnumz, Alikiba na Navy Kenzo wameshinda tuzo za Hipipo 2017 zilizotolewa Jumamosi hii nchini Uganda. Kwenye tuzo hizo, Navy Kenzo walitumbuiza. Hizi ndizo tuzo walizoshinda wasanii hao: East Africa Best Video – Salome by Diamond Platnumz ft Ray Vanny East Africa Best New Act – Navy Kenzo East Africa Super Hit – Unconditional Bae by Sauti Sol & Alikiba Song of the Year Kenya – Unconditionally...

Hawa ndio mabingwa wa Afcon 2017

Timu ya Taifa ya Soka ya Cameroon imetawazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2017 baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Misri kwa mabao 2-1,  yaliyofungwa na Nicolas N'Koulou na Vincent Aboubakar. Cameroon imepata ubingwa huo katika fainali za mashindano hayo yaliyofanyika nchini Gabon, ukiwa ni ubingwa kwa mara ya tano na ni mara ya kwanza tangu mwaka 2002. Katika mtanange...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya February 6

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us