KINGAZI BLOG: 10/27/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 27 October 2016

Picha zinatisha : BODABODA YATUMIKA KUSAFIRISHA MAITI, DEREVA AKAMATWA.

Bodaboda huyo amekamatwa akisafirisha maiti bila jeneza baada ya ndugu wa marehemu kutokua na uwezo wa kununua jeneza    ...

Hii hapa Habari njema kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini

Fedha za mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini zimeanza kuingia katika akaunti zao, baada ya bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) kusema kuanzia Jumatano hii imeanza kuingiza fedha za wanafunzi wote waliokidhi vigezo vya kupatiwa mkopo. Akizungumza na gazeti la Habari leo, Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul Razaq Badru aliwahakikishia wanafunzi hao kuwa fedha hizo zinaanza...

Ufaulu darasa la saba wapanda kwa asilimia 2.52

Dkt. Charles Msonde, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Ufaulu wa mtihani wa Darasa la Saba umeongezeka kwa asilimia 2.52 kutoka asilimia 67.84 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70.36 mwaka 2016.  Akitangaza matokeo hayo leo jijini Dar es salaam Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Dkt. Charles Msonde amesema kuwa Jumla ya watahiniwa 555,291 kati ya 789,479 waliofanya...

BREAKING NEWS:HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA(7)2016

                                                              Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo limetangaza  matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika mwezi septemba huku ufaulu ukiongezeka kwa asilimia 2.52Kutokana...

SEKOMU: Round 4 admitted applicants to join bachelor programmes 2016/2017

ROUND 4 -- > ADMITTED APPLICANTS\  {<ARTS >| |<SCIENCE >| |<ENC >| |<LAW> |  | <BSC.ED>...

Habari kuu Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Octoba 27

...

Maajabu!!! Kutana na Huyu Polisi ambaye ni roboti

Hatimaye hekaya za filamu za miaka ya 1980 zawa kweli kwani ndani ya muda mfupi  polisi roboti ataanza kutumiwa katika vituo vya usalama. Katika tamasha la maonyesho ya roboti kwa jina la GITEX jijini Dubai ,mojawapo ya vitu vilivyowavutia watazamaji ni polisi roboti aliye na uwezo wa kufanya utambulisho wa uso wa mtu. Roboti huyo polisi pia anaweza kutoa adhabu kwa wanaokiuka sheria za barabarani. Roboti...
 

Gallery

Popular Posts

About Us