Bodaboda huyo amekamatwa akisafirisha maiti bila jeneza baada ya ndugu wa marehemu kutokua na uwezo wa kununua jeneza
...
Thursday, 27 October 2016
Picha zinatisha : BODABODA YATUMIKA KUSAFIRISHA MAITI, DEREVA AKAMATWA.
Published Under
BREAKING NEWS
SHARE!
Hii hapa Habari njema kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini
Published Under
BREAKING NEWS

Fedha za mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini zimeanza kuingia katika akaunti zao, baada ya bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) kusema kuanzia Jumatano hii imeanza kuingiza fedha za wanafunzi wote waliokidhi vigezo vya kupatiwa mkopo.
Akizungumza na gazeti la Habari leo, Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul Razaq Badru aliwahakikishia wanafunzi hao kuwa fedha hizo zinaanza...
SHARE!
Ufaulu darasa la saba wapanda kwa asilimia 2.52
Published Under
BREAKING NEWS

Dkt. Charles Msonde, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani
Ufaulu wa mtihani wa Darasa la Saba umeongezeka kwa asilimia 2.52 kutoka asilimia 67.84 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 70.36 mwaka 2016.
Akitangaza matokeo hayo leo jijini Dar es salaam Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Dkt. Charles Msonde amesema kuwa Jumla ya watahiniwa 555,291 kati ya 789,479 waliofanya...
SHARE!
BREAKING NEWS:HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA(7)2016
Published Under
BREAKING NEWS

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika mwezi septemba huku ufaulu ukiongezeka kwa asilimia 2.52Kutokana...
SHARE!
SEKOMU: Round 4 admitted applicants to join bachelor programmes 2016/2017
Published Under
BREAKING NEWS
ROUND 4 -- > ADMITTED APPLICANTS\
{<ARTS >|
|<SCIENCE >|
|<ENC >|
|<LAW> |
| <BSC.ED>...
SHARE!
Habari kuu Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Octoba 27
Published Under
MAGAZETINI LEO

...
SHARE!
Maajabu!!! Kutana na Huyu Polisi ambaye ni roboti
Published Under
TOP STORIES
Hatimaye hekaya za filamu za miaka ya 1980 zawa kweli kwani ndani ya muda mfupi polisi roboti ataanza kutumiwa katika vituo vya usalama.
Katika tamasha la maonyesho ya roboti kwa jina la GITEX jijini Dubai ,mojawapo ya vitu vilivyowavutia watazamaji ni polisi roboti aliye na uwezo wa kufanya utambulisho wa uso wa mtu.
Roboti huyo polisi pia anaweza kutoa adhabu kwa wanaokiuka sheria za barabarani.
Roboti...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)