KINGAZI BLOG: 10/23/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 23 October 2016

Malkia Wa Shindano La Urembo Kwa Watu Wenye Ulemavu Wa Ngozi ‘Albino’ Kenya Apatikana

 Akina dada walioshiriki katika mashindano ya urembo kwa watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi ama Albinos jijini Nairobi, Kenya. Tarehe 21 Oktoba 2016.Mamia walijitokeza kushuhudia maonyesho ya urembo ya Mr na Ms Albino nchini Kenya. Kila siku Albino wanakabiliwa na hatari ya kuuawa na viungo vyao vya mwili kuuzwa kutokana na imani za kishirikina Afrika mashariki na Afrika kusini.  Malkia...

MPENZI MPYA WA WEMA SEPETU ANYOOSHA MAELEZO FNL, ADAI HAMJUI IDRISS

‘Model’ anayedaiwa kuchukua nafasi ya Idriss kwa kutoka kimapenzi na mrembo Wema Sepetu, amejikuta akiweka hadharani mahaba yake kwa mrembo huyo kwa kutoa maelezo yanayothibitisha kuwa hivi sasa yeye na Wema ni wapenzi. Calisah Kijana huyo anayefahamika kwa jina la Calisah, alikumbana na kibano kizito kupitia kipindi cha FNL kinachuruka kila Ijumaa kupitia EATV, pale alipotakiwa kutoa ufafanuzi...

MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO 2016/2017-BATCH 1 & 2

                                                  Nimeamua kukuwekea hapo chini list ya vyuo ambavyohadi sasa vimetoa majina ya wanafunzi waliopata mkopo batch 1. KWA CHUO CHA KCMC             <<BONYEZA HAPA>> KWA...

CHECK LIST YA WASHINDI WA TUZO ZA MTV MAMA 2016,TANZANIA YATOKA KAPA

Tanzania imetoka kapa kwenye tuzo za MTV MAMA 2016 zilizofanyika usiku wa Jumamosi hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, Raymond, Navy Kenzo na Yamoto Band walikuwa wametajwa kuwania tuzo hizo. Wizkid alikuwa man of the night Ulikuwa ni mwaka wa Wizkid aliyeibuka na tuzo nyingi zaidi, ikiwemo ya msanii bora wa mwaka. Diamond na Alikiba walikuwa miongoni ma wasanii...

Habari kuu kwenye Magazeti Ya Leo Jumapili ya Octoba 23

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us