KINGAZI BLOG: 11/10/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 10 November 2016

Mfahamu kiundani kwa historia Rais mteule wa Marekani, Donald Trump 1946 - 2016

New York. Donald John Trump alizaliwa Juni 14, 1946 Jamaica Estates, Queens karibu na New York. Ni mtoto wa pili kati ya watoto watano wa Fred Trump na Mary. Ndugu zake watatu; Maryanne, Elizabeth na Robert wako hai wakati kaka yake mkubwa, Fred Junior alifariki mwaka 1981 kutokana na unywaji pombe wa kupitiliza. Donald anasema jambo hilo ndilo lililomfanya yeye kujiepusha na pombe na uvutaji...

Maelfu waandamana kupinga ushindi wa Trump Marekani

 Rais wa Marekani Donald Trump amemwalika Rais mteule wa Marekani Donald Trump katika White House, huku maandamano ya kupinga ushindi wa Trump yakifanyika miji mingi Marekani. Rais Obama amesema lengo la mkutano wao litakuwa kujadiliana kuhusu shughuli ya mpito na kupokezana madaraka. Amesma anataka shughuli hiyo iwe laini na bila matatizo. Bw Trump wa Republican atakuwa rais wa 45 wa...

Trump ni nani? hii hapa historia yake kiufupi.

MAREKANI: Ni mtoto wa nne wa mmiliki raslimali za majengo jijini New York, Fred Trump.  Licha ya utajiri wa familia yake, alitumainiwa kufanya kazi za daraja la chini zaidi katika kampuni ya baba yake ambapo alipelekwa kujiunga na jeshi akiwa na umri wa miaka 13. Baada ya hapo alijiunga na Chuo Kikuu cha Pennysylvania na akajiweka katika nafasi nzuri ya kurithi utajiri wa baba yake baada...

Alichokisema Wizkid baada ya MTV EMA kumpokonya tuzo na kumpa Alikiba

Hapo awali, Wizkid hakuwa mtu aliyejishughulisha kabisa na masuala ya tuzo. Lakini siku za hivi karibuni baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo kwenye MTV MAMA, huenda aliamua kuufungua moyo wake. Na sasa kuna kila dalili kuwa akarejea tena kwenye msimamo wa awali wa kuzichukulia tuzo kama si kitu cha maana baada ya kudaiwa kuwa MTV EMA wamesitisha ushindi wake na kuamua kumpa Alikiba kwakuwa ni...

Habari kuu kwenye Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Novemba 10

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us