KINGAZI BLOG: 11/14/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 14 November 2016

Haya ndio madhara 6 ya kutoa Mimba

Kutoa mimba ni nini? Hii ni hali ya mwanamke kwa hiari yake mwenyewe kuharibu mimba iliyoingia ndani ya kizazi chake. Kutokana kuongezeka kwa idadi ya mahusiano duniani na kutotumia njia za uzazi wa mpango kwa watu wengi walioko kwenye mahusiano, wasichana wengi kwa sasa wanatoa mimba. Utafiti nilioufanya mwenyewe nimegundua kwamba zaidi ya asilimia tisini ya wasichana wanaokua kwenye mahusiano...

Wadaiwa Sugu Bodi ya Mikopo wapewa siku 30

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo Abdul-Razaq Badru amesema kuwa hadi sasa kuna jumla ya wadaiwa sugu 142,470 wenye mikopo ya shilingi 239,353,750,170.27 iliyokwishaiva hawajajitokeza wala kuanza kulipa mikopo yao. Akitolea ufafanuzi wa maana ya neo "Wadaiwa Sugu", Badru amesema kuwa ni wanufaika waliokopeshwa, muda wa matarajio ukapita...

Mikopo elimu ya juu yapeleka kilio Udom

ZAIDI ya wanafunzi 200 waliodahiliwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kwa mwaka (2016/17), wamelazimika kuacha masomo na kurejea nyumbani baada ya kukosa mikopo ya elimu ya juu kutoka serikalini.   Imeelezwa kuwa wanafunzi hao wa mwaka wa kwanza walifika mapema chuoni hapo kabla ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kutoa majina ya wanufaika na wamefikia uamuzi huo baada...

Trump afanya uteuzi wa awali

Rais mteule wa Marekani Donald Trump, amemteua Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Chama cha Republican, Reince Priebus, kutumika kama Mkuu wa Wafanyakazi. Reince Priebus Bwana Priebus ana uhusiano wa karibu na Spika wa Baraza la Wawakilishi Paul Ryan. Wandishi wa wa habari wanaarifu kwamba uteuzi wa Piebus unaweza kuwaudhi wafuasi wake wa hali ya chini na hii inaashiria kwamba uongozi ujao unalenga...

DONALD TRUMP KUWAREJESHA WAHAMIAJI MAREKANI KWAO

Donald Trump asema kati ya wahamiaji haramu milioni mbili ama tatu watasafirishwa kutoka Marekani baada ya kuapishwa kuwa rais wa chi hiyo. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Marekani,CBS, Trump amesema wahamiaji wote wenye rikodi za uhalifu, ikiwemo makundi ya wahalifu na walanguzi wa dawa za kulevya ndio watakuwa kipaumbele chake .Hatma ya wahamiai haramu milioni nane na ushee waliosalia...

Habari kuu Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Novemba 14

...

KUNDI LA KIGAIDI LA ISIS LAPIGA MARUFUKU UVAAJI WA NGUO ZA NDANI KWA WANAUME

Kile kikundi cha kigaidi kijulikanacho na kuogopwa kwa ukatili wa kutisha hili kuleta hofu kimeenda hatua zaidi mbele kwa kuweka sheria kali. Wahuni hao Wamepiga marufuku uvaaji wa boxer na Chupi kwa wanaume kwasabab ni kimagharibi badala yake unatakiwa uvae bukta ndefu inayovuka magotini ama kitambaa unachojifunga kiunoni kama taulo. Na ukibainika kuvaa hivyo hatua kali itachukuliwa dhidi yako. Wanajeshi...
 

Gallery

Popular Posts

About Us