KINGAZI BLOG: 05/19/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 19 May 2017

Linah apiga dili la Diamond Platnumz

Wakati watoto wa mwanamuziki Diamond Platnumz wakiwa mabalozi wa maduka ya nguo za watoto, mwanamuziki  Linah Sanga anayetarajia kujifungua hivi karibuni amepata ubalozi wa duka la nguo za watoto. Linah ambaye ni mwanamziki wa nyimbo za kizazi kipya amepata dili hilo la kuwa balozi wa duka la nguo za watoto la Kids City Shopping (KCS), zikiwa zimebaki wiki chache kabla ya kujifungua mtoto wake...

Aumwa na Nyoka usoni baada ya kujaribu kumbusu

Nyoka huyo anaaminika kutokeka baada ya kisa hicho. Mwanamume mmoja katika jimbo la Florida nchini Marekani ambaye alijaribu kumbusu nyoka na badala yake nyoka huyo akamuuma, anaendelea kupata matibabu hospitalini. Nyoka huyo alipatwa na Charles Goff, mkaazi wa kaunti ya Putnam kaskazini mwa jimbo la Florida siku ya Jumatatu. Siku moja baadaye jirani wake ambaye alitajwa na kituo cha CBS kama Ron...

Red Bull Ni Kinywaji Hatari Sana Kwa Afya Yako

RED BULL Huuzwa katika maduka makubwa (Supermarkets) na madogo (Retail Shops) katika nchi ya Tanzania, watu wazima na watoto wengi wana mazoea ya kunywa kinywaji hiki ambacho kinaweza kusababisha kifo. Kemikali zinazopatikana katika kinywaji cha RED BULL zilitengenezwa maalum katika maabara za kijeshi za Marekani kwa ajili ya kutuliza mzuka wa maaskari wao wakati wakitekeleza mauaji ya kikatili...

Hii hapa siri kubwa kuhusu Yamoto Band kupotea Aslay afunguka.

Msanii Aslay ambaye hivi sasa ameanza kufanya kazi peke yake nje ya kundi la Yamoto band amefunguka na kusema kundi hilo hapo katikati walikwama na ndiyo maana walirudi nyuma badala ya kusonga mbele zaidi.  Aslay anasema kipindi cha nyuma walikuwa wanapata show nyingi sana jambo ambali lilipelekea kuwa na uwezo wa kufanya video kubwa hata nje ya nchi lakini baadaye mambo yalibadilika na kupelekea...

Makalio yangu ni Orijino sio mchina - Snura

Msanii wa bongo fleva Snura Mushi maarufu kama Malkia wa uswazi mwenye 'hit song' ya 'nionee wivu' amefunguka na kudai hajawahi kutumia dawa za kichina za kuongeza makalio kama watu wanavyomwambia bali umbo lake ni 'original'. Snura amesema hayo kupitia eNewz kutoka EATV baada ya watu wengi kuamini mwanadada huyo anatumia dawa za kuongeza maungo yake ya mwili kama baadhi ya wanawake wengine wa mjini...

Kutana na Mama aliyejifanya mwanaume ili afanye kazi mgodini Tanzania

Pili Hussein alitamani kujiimarisha kimaisha na mawe ya thamani yanayosemekana kuwa nadra mara elfu mia moja kuliko almasi, lakini kwa kuwa wanawake hawakuwa wanaruhusiwa kwenye migodi hiyo alivalia mavazi kama mwanamume na kuwadanganya wafanyikazi wenzake kwa zaidi ya mwongo mmoja. Pili alilelewa katika familia kubwa mjini Tanzania. Mtoto wa mchugaji ambaye aliyekuwa na mashamba makubwa, babake...

MRISHO Gambo: Serikali Itaendelea Kuwadhibiti Wote Watakaotaka Kuingiza Siasa Kwenye Majanga

Serikali mkoani Arusha imewataka wananchi na taasisi zinazoendelea kutoa rambirambi kwa familia za wanafunzi waliofariki katika ajali ya basi la wanafunzi kufuata taratibu zilizowekwa ili kuepusha migongano isiyo ya lazima. Aidha amesema serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga likiwemo la vifo vya wanafunzi na amesisitiza umuhimu wa kila mmoja kufuata sheria...

Nape Nnauye afunguka kuhusu ukimya wa Kinana, Mwenendo wa shughuli za Bunge pamoja Polisi Kutumia Nguvu Kubwa

Na Regina Mkonde   Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amefunguka kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo, ukimya wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, muenendo wa shughuli za Bunge pamoja na tukio lililotokea hivi karibuni la Askari Polisi mmoja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kufyatua risasi hewani mbele ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima baada ya kutokea majibizano...

Mgahawa Wakumbwa na Kashfa ya Kuuza Nyama ya Binadamu

Mgahawa wakumbwa na habari bandia za kuuza ''nyama ya binadamu'' Mgahawa mmoja mjini London umekumbwa na habari bandia za kuuza nyama ya mtu. Wafanyikazi katika mkahawa wa Karri Twist katika eneo la New Cross nchini Uingereza wamehangaishwa kwa kupigiwa simu kutoka kwa wateja wanaosema ''Kwa nini hamujafunga''?. Mkahawa huo wa chakula cha jioni ni mwathiriwa wa habari za mzaha zilizodai kwamba mmiliki...

PICHA ya Nusu Utupu ya ‘Ben Pol’ Yachafua Hali ya Hewa Mtandaoni..!!!

Msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol amejikuta akizua minong’ono kwa mashabiki wake na watanzania kiujumla baada ya kuposti picha akiwa nusu utupu kwenye ukurasa wake wa Instagram . Kwenye picha hiyo Ben Pol hakuweka maneno yoyote yale lakini alionekana amefungwa na kamba kama mtu aliyetekwa. Picha hiyo iliyowekwa jana usiku mpaka sasa ina maelfu ya likes na Maoni kibao ya mashabiki wake wengi wakionekana...

NAFASI ZA MASOMO KWA NGAZI YA CERTIFICATE/CHETI NA DIPLOMA CHUO KIKUU -SUA - MOROGORO

Application for Admission into Non-Degree Programs 2017/2018Sokoine University of Agriculture (SUA) invites applications from qualified Tanzanians and non-Tanzanians to certificate and diploma programs offered by Sokoine University of Agriculture for academic year 2017/2018. Applicants should apply directly to SUA by filling in online application forms or physically submit the forms to the admission...

MPYA : TANGAZO MAALUMU KWA WANAFUNZI WOTE WA UDOM

BONYEZA HAPA KUJUA ZAI...

MPYA: KUFUNGULIWA KWA UDAHILI KWA NGAZI YA JUU KABISA YAANI POSTGRADUATE PROGRAMMES KWA MWAKA 2017/18 CHUO KIKUU CHA UDOM

BOFYA LINK ZIFUATAZO KUJUA ZAIDI GS PROGRAMME SUMMARY ADVERT FOR 2017-2018 APPLICATIONSGS PROGRAMME DETAILS FOR 2017-18 APPLICATIONGRADUATE STUDIES FEES STRUCTURE FOR 2017-20...
 

Gallery

Popular Posts

About Us