KINGAZI BLOG: 03/25/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 25 March 2017

WAPENZI WADONDOKA NA KUFA WAKATI WAKIFANYA MAPENZI DIRISHANI...!!!

  Wapenzi wameanguka na kufa baada ya dirisha walipokuwa wakifanyia mapenzi kufunguka ghafla nchini China. Wawili hao wanasemekana kudondoka kutoka kwenye dirisha la jengo moja la makazi kwenye jiji la Wuhan nchini humo pale dirisha hilo walilokuwa wameegemea kufunguka. Mashuhuda walivieleza vyombo vya habari vya China kwamba wapenzi hao walikumbatiana wakati wakianguka kwenye njia ya...

Jinsi Maulid Kitenge alivyomnusuru Nape na bastola

MWANDISHI wa habari, Maulid Kitenge,  ambaye juzi alimnusuru aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye dhidi ya mtu aliyemshikia bastola wakati akielekea kuzungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam, amefunguka na kueleza kile kilichomsukuma aingilie kati. Juzi, mara baada ya Nape kuwasili karibu na hoteli hiyo, ambayo inapakana...

Hii kali ya Mwaka!!..Matajiri Wajenga Mahandaki Kujiandaa na Mwisho wa Dunia..!!!

UKITAMKA “handaki la kujificha kwa ajili ya mwisho wa dunia” watu wengi watadhani kuwa ni chumba kilichojengwa kwa uimara wa hali ya juu kikiwa kimesheheni vyakula vilivyosindikwa na vitu vingine ili kuwezesha watu kuishi kwa muda mrefu. Tishio la kuangamia kwa dunia kwa sasa ni kubwa kama ilivyokuwa wakati wa Vita Baridi, lakini mahandaki haya ya leo ni tofauti kabisa na zile za karne ya 20. Kampuni...

Sakata la Nape Lazidi Kumpasua Kichwa Magufuli..Habari Katika Vichwa vya Magazeti ya Leo 25/3/2017...!!!

...

Hivi ndivyo Nape Alivyojitabiria Kuvuliwa Uwaziri wa Habari..

 Mtu anapopatwa na jambo, ni kawaida ya binadamu kuangalia mambo au kauli zake alizokuwa akitoa kabla ya kufikwa na tukio hilo. Mara nyingi mambo au kauli hizo huonyesha kama vile alikuwa akiona tukio likimjia au kumtokea. Unaporejea kauli za hivi karibuni za Nape Nnauye, unaona dhahiri kuwa alikuwa kama anaona kinachokuja na kujitabiria kuwa angevuliwa uwaziri wa habari, utamaduni, sanaa na...

Makosa Unapodeti Mwanamke Ambayo Unapaswa Kuyaepuka

Unataka kuzungumza na mwanamke ambaye humfahamu? Kuongea na mwanamke ambaye humjui ni kama vile kujaribu kuoga na maji baridi. Inakuwa vigumu na inakufanya kuingiwa na kibaridi. Kila wakati unapochukua hatua ya mbele unaskia kama tumbo linakukoroga vile. Lakini kama mwanamume, jinsi ya kuapproach mwanamke ni jambo muhimu la kujua ikija maswala na kudate. Kile ambacho kinachohitaji kwanza...

Hebu soma stori hii kali ya mahaba

Alikuwa ni rita niliyempenda zaidi pale kazini kwetu , kazi yake sikujua ni nini haswa , lakini nilimwona mara kwa mara akipita huku na kule katika shuguli , mimi kazi yangu ilikuwa ni nyingine kabisa .Kampuni yetu ilikuwa kubwa na wafanya kazi wengi , ilikuwa sio rahisi kujua watu wote koz wengine wako idara zingine na shuguli zao ni zingine , ndio kama rita sikujua yeye kazi yake wala yuko...

Unapotokea kumpenda mtu aliye na mpenzi wake, Fanya haya!

  Tumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametuwezesha kuonana tena tukiwa wazima. Lakini pia tumshukuru kwa kutuletea kitu kinachoitwa mapenzi.Mapenzi yamekuwa yakichukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku na yamekuwa yakichangia kwa kiasi kikubwa furaha kwa kila mtu.Kama huamini, angalia wale waliotokea kupenda na wao wakapendwa, utabaini nyuso zao zimetawaliwa...

Kazi Immeanza Rasmi..Waziri Mpya wa Habari Aaanza na Sakata la Makonda Kuvamia Clouds,Ametoa Kauli Hii👇

Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo amejibu swali la waandishi kadhaa wa habari waliomhoji mapema leo baada ya kuapishwa katika viunga vya Ikulu Jijini Dar es Salaam. Waziri Mwakyembe amenukuliwa akisema maneno yafuatayo juu ya sakata hilo lililotikisha vichwa vya habari nchini kwa juma moja sasa. "Ninachokijua kuhusu tukio la Clouds Media kinatokana na vyombo vya habari, sidhani...

Hii kali sasa !!Familia ya Makonda Yaanika Ukweli Wote Juu ya Jina la Bashite..Soma hapa

Mzee Khamesse Kutokana na kuwepo kwa taarifa za Paul Makonda kulelewa katika familia ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Mwanza, Seleman Khamesse, JAMHURI limefika nyumbani kwa Mzee Khamesse, katika eneo la Nyamanoro, jijini Mwanza na kufanya mahojiano; JAMHURI; Kuna taarifa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewahi kuishi nyumbani kwako. Je, ni kweli? KHAMESSE; Ni kweli Daudi alikuja kwangu...
 

Gallery

Popular Posts

About Us