KINGAZI BLOG: 02/27/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 27 February 2017

Wachawi wa Nchini Marekani Waapa Kumroga Donald Trump Atoke Madarakani

Wapinzani wengi wa rais wa Marekani Donald Trump, wanaamini kuwa itawabidi wasubiri kwa miaka minne ili aweze kuondoka madarakani. Lakini wachawi nchini Marekani hawakubaliani na hilo. Usiku wa manane siku ya Ijumaa, wale wanaoamini uchawi kote nchini Marekani, waliandaa matambiko yenye nia ya kumuondoa Trump uongozini. Hadi sasa ukurasa wa Facebook wa matambiko huyo umepata wafuasi 10,500. Hatua...

Kamanda Sirro: Nasumbuliwa Sana na Wanawake Usiku

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Simon Sirro, amesema miongoni mwa changamoto anazokutana nazo ni pamoja kupigiwa simu za vishawishi na wanawake hasa usiku wa manane, wakidhani anapata pesa nyingi kwenye kazi yake. Kamishna Sirro afichua siri hiyo hivi karibuni akiwa kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, ambapo amesema pamoja na changamoto hizo, anajitahidi kukabiliana...

Diamond Platnumz Apata Dili Jingine la Mamilioni

Mwanamuziki Diamond Platnumz amezidi kufanya vizuri katika tasnia ya muziki barani Afrika na nje ya Afrika ikiwa ni pamoja na kushirikiana na wasanii wengi wakubwa wanaozidi kumuongezea mashabiki katika mataifa mbalimbali. Hivi karibuni Diamond alipotoa video ya wimbo wa Marry You alimshirikisha mwanamuziki Ne-Yo kutoka nchini Marekani aliuweka katika akaunti yake mpya ya Youtube ambayo ipo chini...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya February 27

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us