KINGAZI BLOG: 04/20/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 20 April 2017

NABII Afrika Kusini Aliyetabiri Tetemeko la Kagera Atabiri Kifo cha Kiongozi wa Upinzani Nchini..Adai Mwaka 2018 Utakuwa Mwaka Mbaya kwa Tanzania.

Kiongozi wa Kanisa la Enlightened Christian Gathering (ECG) la Afrika Kusini, Nabii Shepher Bushiri amemtabiria ugonjwa hatari kiongozi wa upinzani wa Tanzania, akisema maombi pekee na imani yake ndio vitamnusuru asitokewe na “kitu kibaya”. Nabii Bushiri pia amesema mwaka 2018 utakuwa mgumu kwa Tanzania kuliko wakati mwingine wowote, akishauri wananchi wafanye maombi kuiepusha nchi na hali hiyo. Bushiri...

JINSI YA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME KWA NJIA RAHISI ZAIDI.

Kurudisha nguvu za kiume Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana. Katika kilele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa, kama inavyojulikana, ni sherehe inayopatikana katika tendo lenyewe la ndoa. Ingawa, ili furaha hiyo ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika hali ya...

Spika Ndugai Ahoji Jina la Bashite Bungeni..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 20/4/2017.

...

Inashangaza sana!!!! Huyu ndiye Kijana Anayeweza kutafuna Chupa na Misumari!!

KIJANA mmoja aliyejitambulisha kwa jina la James John mkazi wa Mchikichini jijini Dar es Salaam ameonakana kuwashangaza watu wengi wa maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya kuwa kivutio kikubwa kwao alipoonekana  akitafuna vitu vya ajabu vikiwemo vipande vya chupa na misumari. Mtandao huu ulipata fursa ya kuzungumza na kijana huyo ambaye alieleza kuwa yeye ni mzaliwa wa Wilaya ya...
 

Gallery

Popular Posts

About Us