KINGAZI BLOG: 09/06/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 6 September 2016

Serikali Yakanusha Taarifa Inayosambazwa Katika Mitandao ya Kijamii Kwamba Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan Ameomba Kujiuzulu

Ofisi ya Makamu wa Rais inakanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, ameomba kujiuzulu nafasi yake na kwamba taarifa hiyo ni ya uzushi na uongo haina ukweli wowote. Taarifa hiyo ni ya uchochezi inayolenga kuliweka Taifa kwenye taharuki.  Mhe. Makamu wa Rais yuko bega kwa bega na Mhe. Rais...

TENGENEZA PESA UKIWA UMEKAA NYUMBANI KWAKO SHULE NA MAHALI POPOTE

WADAU HABARI YENU VIPI?LINK NLOSHARE HAPO CHINI NI KAMPUNI YA MATANGAZO,,,AMBAPO UNAVOZIDI KUIPROMOTE KIPATO CHAKO KINAKUA,,,INGIA KWENE LINK UJIUNGE UANZE KUTENGEZA CASH UKIWA HOME [ Ukiwa unaitangaza kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na kushare na watu kuhusu hiyo software unakua unalipwa,, BOFYA HAPA KUJISAJILI NA KUANZA KUNUFAIKA NA HII PROGRAMU KABAMBE YA KUKUZA UCHUM...
 

Gallery

Popular Posts

About Us