KINGAZI BLOG: 02/16/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 16 February 2017

KAMA WEWE MWANAUME UNA TATIZO LA KUFIKA KILELENI HARAKA KABLA MPENZI WAKO HAJARIDHIKA SOMA HAPA

                                        .                                                            WAKUBWA...

MWANAUME USIPOZINGATIA HAYA WANAWAKE WAZURI UTAISHIA KUWAITA SHEMEJI AU DADA. SOMA ZAIDI HAPA

TUNZA UUME UHESHIMIKE Uume imara ni heshima kwa mwanume na furaha ya mwanamke, bila uume huwi mwanaume. Uume ndio kiungo muhimu katika mwili wa mwanaume. Ndio mana mtoto akizaliwa mama na manesi kwa haraka huchungulia kuona ni wa kike au wa kiume? Uume hutambulisha nasaba za ndani zilizopo ndani ya mwili wa mwanaume. Lakini tangu zama za Adamu hasa baada ya gharika kuu wakati wa Sodama...

Mfumo Mpya wa Kutumia Namba za Simu Kuanzishwa Mwezi Ujao,Utaweza Kuhama Mtandao Mmoja Kwenda Mwingine Bila Kununua Laini Mpya

Mfumo mpya wa matumizi ya namba za simu (Number Portability) unatarajiwa kuanzishwa ifikapo Machi Mosi kwa ushirikiano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kampuni za simu nchini. Kampuni za simu zilizoingia katika mkataba huo ni pamoja na Tigo, Vodacom, Airtel, TTCL, Zantel, Smile, Smart na Halotel. Jana, TCRA ilitangaza huduma hiyo mpya kwa watumiaji wa simu nchini, itakayomwezesha mteja...

Masogange apelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Simon Sirro amesema mtuhumiwa Agness Gerald, maarufu Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuchukua vipimo vya damu ili kubaini kama anatumia dawa za kulevya. Masogange ambaye ni mrembo maarufu anayetamba katika video za wasanii mbalimbali wa bongo fleva alikamatwa na polisi juzi. Kamishna Sirro amewaambia wanahabari...

NEY WA MITEGO: MUDA WETU.(New Official video)

                                ...

Nikki Mbishi Atoa Onyo Kwa Vyombo vya Habari Kwa Watakao Sambaza na Kupiga Wimbo wake wa "I am Sorry JK"

Ikiwa ni saa zisizodi ishirini na nne (24) toka itoke taarifa ya MwanaHiphop Tanzania Nikki Mbishi kutoa taarifa ya kuitwa na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kuhojiwa kuhusu wimbo wake unaomzungumzia Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ‘I am sorry JK‘ Rapper huyo ameandika sentensi kadhaa. “Salaam, baada ya salamu naomba niombe radhi kwa vyombo vyote vya habari kuwa sitoweza kuwapa ushirikiano wowote kuhusu...

SHILAWADU__U-Heard- Irene Uwoya afafanua kwanini anawapenda kimapenzi wanaume wenye sura mbaya

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us