KINGAZI BLOG: 04/19/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 19 April 2017

HABARI NJEMA!!! DOWNLOAD KINGAZI BLOG APPLICATION ON PLAYSTORE BONYEZA HAPA

Habari njema kwa wasomaji wetu!! Sasa Unaweza kuwa wa kwanza kupata habari za uhakika kutoka pande zote za dunia kwa ku download APP yetu ambayo iko tayari Google  Playstore Au unaweza kuipata kwa kubonyeza hapa 👇👇👇👇👇 DOWNLOAD KINGAZI BLOG APPLICATION BOFYA HAPA ...

Kenya Nao Waiga usafiri wa Mwendokasi kama Tanzania..!!

Mara nyingi watanzania wamekuwa wanataja mafanikio ya nchi nyingine wakilinganisha na mazingira hafifu ya hapa nchini katika masuala ya Maendeleo. Lakini  orodha ya mazuri yanayoigwa na nchi nyingine kutoka Tanzania itakuwa imeongezeka kwa jambo moja lingine ambalo ni Mabasi ya mwendo kasi. Aidha, Mamlaka ya usafiri jiji la Nairobi imefufua mpango kupunguza foleni za magari kwa  kuanzisha...

Sakata la vyeti feki lachukua Sura Mpya!!! Habari katika magazeti yq leo Jumatano April 19,2017

...

Askari 17, Viongozi 18 Wameuawa Mkuranga, Kibiti

Idadi na watu, raia na askari polisi waliouawa kwa kupigwa risasi katika Wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga mkoani hapa imekuwa kubwa hivyo kutia wasiwasi kwamba, maisha katika eneo hilo ni ya roho mkononi, Uwazi limechimba na kuchimbua. Uwazi limebaini hayo kufuatia Aprili 13, mwaka huu, askari polisi wanane wilayani Kibiti kuuawa kwa kupigwa risasi kisha kuporwa bunduki 7 na watu ambao jeshi...

Huu ndo Uwezo wa Korea Kaskazini Kivita..Ana Makombora Zaidi ya 1000 Yanayoweza Kurushwa Toka Bara Moja Hadi Jingine

Korea kaskazini inaaminika kumiliki zaidi ya silaha 1000 zenye uwezo tofauti ikiwemo kombora la maasafa marefu ambalo linaweza kuishambulia Marekani. Mpango wa Pyongyang umeendelea katika miongo kadhaa ya hivi karibuni kutoka mizinga mikubwa katika miaka ya tisini na sabini hadi makombora ya masafa mafupi mbali na yale ya masafa marefu katika miaka 80 na 90. Mifumo ilio na uwezo mkubwa inadaiwa...

Picha: Mwigizaji Shamsa Ford Apasuka Uso Kisa Ugomvi

Msanii wa filamu Shamsa Ford amepokea kichapo Jumanne hii katika harakati za kuamlia ugomvi wa watu ambao walikuwa wanapigana.  Malkia huyo wa filamu amekutwa na mkasa huo ikiwa ni mwezi mmoja toka aibiwe akaunti yake na Instagram yenye follows 2.  Muigizaji huyo amedai alipigwa ngumi ya uso katika harakati za kutafuta usalama wa watu hao ambao walikuwa wakipigana.  “Jana kwa moyo...

Hatimaye Yule Jamaa Aliyerekodi Tukio Akimuua Mzee Amejiua Mwenyewe

Yule Jamaa ambae alirekodi tukio live akimuua mzee wa miaka 79 kwa bastola hatimae amejiua mwenyewe . Tukio hilo la kujiua limetoa muda tu baada ya polisi kumpata na kuanza kulikimbiza gari lake ila kabla hawajamkamata alijipiga risasi na kukatisha uhai wake hivyo.... Jamaa kabla ya kifo chake inasemekana ameua watu kumi na tano bila sababu kisa tu anamaumivu ya kuachwa na mpenzi wake...
 

Gallery

Popular Posts

About Us