KINGAZI BLOG: 12/21/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 21 December 2016

Habari kuu Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Disemba 21

...

2G, 3G, 4G na 5G maana yake ni nini?

 Katika sekta ya mawasiliano, ni kawaida kuwasikia wataalamu na wakati mwingine watu wa kawaida wakizungumzia kuhusu teknolojia ya 2G, 3G, 4G na 5G. Maana yake ni nini? G kwenye tarakimu hizi inawakilisha 'Generation', yaani kizazi fulani cha teknolojia ya mawasiliano kwa kuangazia zaidi uwezo wa data kwenye simu. Hakuna kipimo chochote kinachotumiwa kimataifa kuhusu kasi ya data ya simu. Lakini...

Ahukumiwa Miaka 25 Jela Au Faini Bilioni 3.7 Kwa Kujihusisha na Biashara ya Meno ya Tembo

Mahakama  ya Hakimu Mkazi Tanga, imemtia hatiani na kumuhukumu kwenda jela miaka 25 au kulipa faini ya Sh bilioni 3.7 mfanyabiashara Charles Kijangwa kwa kujihusisha na biashara ya meno ya tembo. Kijangwa alihukumiwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cresencia Kisongo, baada ya kuruka dhamana kwa miaka sita. Alishindwa kulipa faini. Mshtakiwa huyo alikabidhiwa mahakamani hapo baada ya kukamatwa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us