KINGAZI BLOG: 02/11/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 11 February 2017

Picha:Inasikitisha!!!! Defoe akubali kulala na Bradley Lowery kwenye siku yake ya mwisho duniani ambayo ni leo jumamosi.

Jumamosi ya leo ndio siku ambayo ilidaiwa kuwa mtoto ambaye ni shabiki mkubwa wa klabu ya soka ya Sunderland, Bradley Lowery atafariki dunia kutokana na ripoti ya madaktari ambapo anasumbuliwa na maradhi ya kansa ambayo imedaiwa kufika mwisho hadi kushindikana kutibika. Bradley amemuomba Jermain Defoe kulala naye kitanda kimoja hospitalini ambapo amelazwa katika siku yake hiyo ya mwisho duniani...

HAYA HAPA MAJINA YA WALIOPATA MKOPO WA CHUO KIKUU BAADA YA KUKATA RUFAA (APPEAL) 2016/17

LIST OF SUCCESSFUL LOAN APPELLANTS 2016/2017 The Higher Education Students’ Loans Board wishes to announce successful loan appellants. Details of the loan allocations will be available in their respective institutions by end of 13th February, 2017. Issued by: EXECUTIVE DIRECTOR HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD 11th February, 2017. BOFYA HAPA KUONA JINA LAKO KWA HARAKA...

Baada ya kutoka selo wiki iliyopita Paul Makonda amualika T.I.D nyumbani kwake Masaki leo.

Ni siku 3 toka mwimbaji wa bongofleva T.I.D aachiwe kwa dhamana kwenye sakata la dawa za kulevya ambalo lilianzia kwenye orodha aliyoitaja mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Leo February 11 2017 Mkuu huyo wa mkoa amemuita T.I.D nyumbani kwake Masaki na kufanya nae mazungumzo ikiwa ni siku mbili zimepita toka Makonda amsifie T.I.D kwa kukiri kuwa tayari kusaidiwa kuachana na dawa za kulevya.Baada...

Donald Trump asema atatoa marufuku nyingine mda si mrefu

 Marufuku hiyo ya Trump ilizua ghasia katika viwanja vya ndege na kusababisha maandamano nhcini humo Donald Trump anasema kuwa huenda akabadilisha marufuku yake dhidi ya wahamiaji na agizo jingine la rais litakalopiga marufuku raia wa mataifa kadhaa kutoingia Marekani baada ya jaribio lake la awali kubadilishwa na mahakama. Bw Trump aliambia wanahabari katika ndege ya Airfoce One kwamba amri...

PICHA 2: Hatimae Diamond Platnumz aonyesha sura ya mtoto wake wa pili na hizi ndizo picha zake.

Mashabiki wengi wa Mwimbaji wa bongoflevaDiamond Platnumz walikua wanasubiria hii siku Diamond apost picha ya mtoto wake wa pili aitwae Nillan ambaye toka amezaliwa hakuna shabiki aliepata nafasi ya kuona sura yake. Wengi walikua wanasubiria kumuona wajue kama kafanana na Baba au mama? sasa picha zenyewe ndio hizi na ukishamaliza kuzitazama usiache kuniandikia mfanano ukoje...

Baada ya Kukataa Wito wa Polisi,Mbowe Aamua Kumpeleka Makonda Mahakamani,..!!

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Aikael Mbowe (MB) leo tarehe 10 February 2017 amefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam, Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalumu DSM na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dsm. Kesi hiyo ilisajiliwa kama Kesi ya Kikatiba namba 1 ya 2017 imefunguliwa kwenye Mahakama ya Kuu masijala ya Katiba (Masijala Mkuu). Kwenye Kesi hiyo Mbowe anaomba Mahakama...

RAIS AFANYA UTEUZI HUU MKUBWA KUONGEZA NGUVU ZAIDI KWENYE VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA.

...

Habari kuu Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya February 11

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us