
Jumamosi ya leo ndio siku ambayo ilidaiwa kuwa mtoto ambaye ni shabiki mkubwa wa klabu ya soka ya Sunderland, Bradley Lowery atafariki dunia kutokana na ripoti ya madaktari ambapo anasumbuliwa na maradhi ya kansa ambayo imedaiwa kufika mwisho hadi kushindikana kutibika.
Bradley amemuomba Jermain Defoe kulala naye kitanda kimoja hospitalini ambapo amelazwa katika siku yake hiyo ya mwisho duniani...