Ni siku 3 toka mwimbaji wa bongofleva T.I.D aachiwe kwa dhamana kwenye sakata la dawa za kulevya ambalo lilianzia kwenye orodha aliyoitaja mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.Leo February 11 2017 Mkuu huyo wa mkoa amemuita T.I.D nyumbani kwake Masaki na kufanya nae mazungumzo ikiwa ni siku mbili zimepita toka Makonda amsifie T.I.D kwa kukiri kuwa tayari kusaidiwa kuachana na dawa za kulevya.Baada ya kufanya mazungumzo na T.ID Paul Makonda alisema “Mungu wetu hajalala na siku zote anampenda amtafutae, karibu tena nyumbani T.I.D”
Saturday, 11 February 2017
Baada ya kutoka selo wiki iliyopita Paul Makonda amualika T.I.D nyumbani kwake Masaki leo.
Published Under
TOP STORIES
About Author
BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi
- Next HAYA HAPA MAJINA YA WALIOPATA MKOPO WA CHUO KIKUU BAADA YA KUKATA RUFAA (APPEAL) 2016/17
- Previous Donald Trump asema atatoa marufuku nyingine mda si mrefu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT