KINGAZI BLOG: 05/11/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 11 May 2017

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Udahili Wa Wanafunzi Wa Astashahada Na Stashada Katika Programu Mbalimbali Kwa Mwaka Wa Masomo 2017/2018

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi...

HIVI Ndivyo Magufuli Anavyong'aa Ulaya..Wazungu Wamwagia Misifa Kedekede.

Nimekaa Mahali Fulani Hapa Mtaa wa Poznańska Street Katika Mji wa Warsaw Poland, Yani Wazungu Fulani Nikawaskia Wanazungumzia Tanzania Kwamba Hivi Sasa Ina Rais Mzuri Ambaye Anasimamia Vizuri Uwajibikaji Katika Masuala ya Fedha za Umma na Kuanzisha Elimu Bure.  Nikapata Hamu ya Kuwasogelea na Kuwauliza Iweje Wanaizungumzia Tanzania Hivyo, Wanaijua? Nikajibiwa Kwamba Wao (wako 9 wamekaa meza...

Nani anakwenda fainali ya Europa League leo?

Mechi ya kwanza ambapo Manchester United walisafiri kwenda nchini Hispania Marcus Rashford alifanikiwa kuwapa Manchester United bao la ugenini dhidi ya Celta Vigo. Leo Celta Vigo wako Old Traford huku mashabiki zaidi ya 30,000 wakiwa wamesafiri na timu kutoka Hispania hadi Uingereza jambo linalompa faraja kocha wao Eduardo Berizzo. “Ni faraja sana kwetu kwani inaonesha mashabiki hawa wako bega kwa bega na sisi, baada ya kufungwa mchezo wa kwanza hawajatuacha wamekuja na sisi hapa leo” alisema Berizzo. Lakini Manchester United ambao wamerudi katika nafasi ya 6 kwenye ligi baada ya ushindi wa Arsenal hapo jana, watahitaji...

ALICHOSEMA Askofu Gwajima Baada ya Kuzungumza na Maalim Seif Kuhusu Mgogoro wa CUF

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Dr Josephat Gwajima amefunguka na kusema Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad ni rafiki yake hivyo alitaka kuonana naye ili aweze kujua Professa Ibrahim Lipumba anaharibu vipi chama Mchungaji Gwajima amesema hayo leo alipokutana na waandishi wa habari baada ya kumaliza mazungumzo na Katibu Mkuu huyo wa CUF na kusema aliamua kukutana...

Kitwanga Aikaba Koo Serikali......Atishia Kuhamasisha Wananchi Kwenda Kuzima Mtambo wa Maji ulioko Ziwa Victoria.

Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga (CCM), amewapiga mkwara mawaziri bungeni kuwa atahamasisha wananchi wa jimbo lake kwenda kuzima mtambo wa maji ulioko Ziwa Victoria. Kitwanga ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa kwanza katika serikali ya awamu ya tano, alilieleza Bunge jana kuwa mtambo huo upo kwenye chanzo cha maji cha Iherere, kilichoko jimboni kwake Misungwi mkoani Mwanza. Katika mjadala...

Walimu Wawili Watiwa Mbaroni Jijini Dar Kwa Kuvujisha Mtihani wa Kemia wa kidato cha sita

Jeshi la  Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia walimu wawili na mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Chang'ombe (Mazoezi) kwa tuhuma za kukutwa na mtihani wa Kemia wa kidato cha sita. Mitihani hiyo inaendelea kufanyika nchini. Kamishna wa Kanda hiyo, Simon Sirro, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Musa Elius na Innocent Murutu ambao ni walimu wa shule hiyo. Mwanafunzi ni Ritha Mosha. Kamishna...

Polisi Watumia Risasi Kumkamata Mtuhumiwa Aliyetoroka Chini ya Ulinzi wa Askari Magereza

Mshtakiwa anayekabiliwa na kesi ya kujaribu kubaka Allen Robert (33), ametoroka akiwa chini ya ulinzi wa askari Magereza baada ya kutoka kusikiliza ushahidi wa kesi inayomkabili na kusababisha taharuki kwa baadhi ya wananchi waliokuwa eneo hilo. Tukio hilo lilitokea jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar  saa tisa alasiri na askari Magereza walilazimika kurusha risasi hewani...

WAZIRI wa Katiba na Sheria Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Atajwa Kwenye Orodha ya Watumishi Wenye Vyeti Feki..!!!!

Sakata la watumishi wa umma waliofanyiwa uhakiki wa vyeti limezidi kuchukua sura mpya kila iitwapo leo ambapo awamu hii, Waziri wa serikali ya awamu ya tano amebainika kuwa miongoni mwa watumishi ambao vyeti vyao vina utata. Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi ametajwa katika orodha ya watumishi ambao vyeti vyao vina matatizo ambapo uhakiki wake ulifanyika wakati...

Diva Amjibu Dkt. Mwakyembe Kuhusu Kupinga Wasanii kuimba Nyimbo za Kisiasa

Ni muda mchache baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe kusema wasanii waachane na tabia ya kuimba nyimbo za kisiasa kwani hakuna msanii aliyewahi kufikia mafanikio makubwa kwa kufanya hivyo. Mtangazaji Diva the Bawse kupitia mtandao wake wa twitter ameandika ujumbe ambao unasadikika pengine amejibu kauli ya waziri huyo...

TAMBUA Faida Kuu 4 Utakazozipata Kama Ukiacha Kulala na Simu Yako Kuanzia Leo..!!!

Wengi wetu naamini tumekuwa na kajitabia kakulala na karibu na simu usiku kwenye vitanda vyetu pasipo kufahamua madhara ya kijitabia hicho. Sasa leo ninayo mambo kadhaa yakukwambia msomaji wangu wa www.dkmandai.com kuhusu hii tabia ya kulala na simu usiku. Zifuatazo ni faida utakazozipata endapo utaacha kulala na simu usiku kitandani kwako. 1.Utalala usinginzi mzuri na wa kutosha. Inaaminika kuwa...

KITWANGA Aitwanga Serikali Bungeni..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 11/5/2017..!!!

...

Ni Juventus vs Real Madrid fainali ya Champions League.

Atletico Madrid walionekana tishio kwa Real Madrid na walionekana kama wanaenda kubadili matokeo ya mwanzo ya mchezo wao baada ya mabao mawili ya haraka haraka. Alianza Saul Niguez dakika ya 12 kuzichungulia nyavu za Real Madrid kabla ya Antoine Griezman dakika ya 16 kuiandikia Atletico bao la pili kwa mkwaju wa penati. Lakini wakati Atletico wakiamini wangemaliza kipindi cha kwanza wakiongoza kwa goli 2 kwa 0, dakika ya 42 Isco alifanikiwa kuipatia Real Madrid goli na kuufanya mchezo huo kwenda mapumziko kwa bao 2 kwa 1. Bao la Isco lilikuwa la kwanza kwake katika michezo yake 31 iliyopita katika Champions League, na bao...

KAULI ya Msanii Diamond baada ya Profesa Jay Kusimama Bungeni na Kumtetea Kuhusu Kudaiwa Kodi ya Milioni 400 na TRA

Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye juzi aliandikwa na gazeti la NIPASHE kwamba anadaiwa shilingi milioni 400 za kodi na TRA, amepost kipande cha video fupi ambacho Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay‘ amemuongelea bungeni. Kwenye video hiyo, Profesa Jay amesema;"Juzi Msanii Diamond alikua analalamika TRA wamempelekea kodi ya Milioni 400, unaweza kujiuliza anadaiwa milioni 400...

KITWANGA Aitwanga Serikali Bungeni..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 11/5/2017..!!!

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us