KINGAZI BLOG: 04/25/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 25 April 2017

HIZI HAPA NAFASI ZA SCHOLARSHIP NCHINI CHINA MWAKA 2017/18

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAPRESIDENT’S OFFICEPUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCEANNOUNCEMENT FOR CHINESE GOVERNMENT SCHOLARSHIPSFOR THE YEAR 2017/18A: INTRODUCTION:Applications are invited from qualified Tanzanians from the Public Sector toapply for Short and Long Courses tenable in the People’s Republic of Chinafor the year 2017/2018.The lists of training courses are available at:...

Sakata la Bosi wa UN kufukuzwa latua bungeni

Dodoma. Sakata la kufukuzwa nchini la bosi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania, Awa Dabo, limetua bungeni. Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga(Chadema) akizungumza bungeni leo,  aliitaka serikali kufafanua sababu za kumfukuza nchini Mkurugenzi Mkazi huyo wa UNDP Tanzania kwa kumpa saa 24. Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge aliliambia bunge kuwa serikali ina...

SIRARI: Mzee wa Miaka 78 Ajiunga na Darasa la Kwanza..!!!

Waswahili husema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, na elimu siku zote haina mwisho. Huko Sirari Mkoani Mara Mzee wa miaka 78 amejitosa na kuanza darasa la kwanza mara tu baada ya kuhitimu masomo yake ya elimu ya awali. Mzee Nyamhanga Seguta alifikia uamuzi huo baada ya kuteseka sana na mahesabu katika biashara yake ya kuuza ndiz...

KAZI IMEANZA Marekani Watuma Nyambizi Nyingine Kuongeza Nguvu Korea Kaskazini..Inauwezo wa Kurusha Makombora ya Mbali.

Hali ya wasiwasi imeendelea kutanda kutokana na majibizano makali na vitisho kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ambapo meli ya jeshi la Marekani (USS Michigan) imewasili katika Korea Kusini huku hofu ikiongezeka zaidi kuhusu uwezekano wa Korea Kaskazini kufanya jaribio jingine la kombora au silaha za nyuklia. Meli hiyo yenye uwezo wa kushambulia kwa makombora, imewasili kujiunga na kundi jingine...

Kimenuka!!..JB Amtolea Povu Wema Sepetu na Wenzake Ambao Hawakuandamana na Makonda Kupinga Uuzaji wa CD Feki na Za Nnje.

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen 'JB amefunguka na kudai hawakufanya maandamano ya kuzuia movie za nje ya nchi kuuzwa nchini bali waliandamana kuzitaka zilipiwe kodi au serikali itoe msamaha kwenye filamu za ndani. JB amezungumza hayo alipokuwa akifanya mahojiano na wanahabari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Tunu na kudai kuwa watu wengi wamehusisha maandamano yao na siasa kitu ambacho hakina...

CCM Wamshitaki Nape ..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 25/4/2017..!!!

...

Umesikia Alichokisema Nape Nnauye Kuhusu CCM?? soma hapa

Usiku wa kuamkia Leo  Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia tiketi ya CCM Nape Moses Nnauye ametumia ukurasa wake wa twitter kuandika ujumbe wake wa wazi aliyowahi kuandika kipindi cha nyuma kuhusu CCM, lengo likiwa ni kuweka kumbukumbu sawa kwa watu kuhusu CCM. “Watu wengi wanaamini nimeisaidia sana CCM lakini ukweli ni kuwa CCM imenisaidia sana mimi kuliko mimi nilivyoisaidia, CCM...

JOH Makini Afunguka Haya Baada ya Mashabiki Kumfananisha na Jay Z wa Marekani..!!!

Msanii wa miondoko ya 'Hip hop' kutoka kampuni ya Weusi, Joh Makini amefunguka ya moyoni na kusema anajisikia faraja kwa mashabiki zake kumfananisha na msanii Jay Z. Joh Makini amesema ufananisho huo uko wazi kwa kuwa kiwango cha muziki wake ni mkubwa kiasi ambacho watu wanaomzunguka na wapenzi wa kazi zake hawaoni mtu mwingine wa kumfananishia naye isipokuwa msanii huyo kutoka Ughaibuni. "Jay Z...

JB: Simfahamu Ney wa Mitego Wala Sisikilizagi Bongo Fleva

JB amedai hamfahamu mwanamuziki huyo na wala hasikilizagi bongo fleva, ila kwa kauli yake hiyo amesema anampenda sana japo amemdiss. Yeye pamoja na kusema hasikilizi Bongo Flevaila hawachukii wanamuziki wa Bongo Fleva Pia amesema sio kwamba hawataki movie za nje zisije ila wanataka zilipe kodi kama wao wanavyofanya, kwa kuwa mtu anadownload movie ya nje kisha anaizalisha copy nyingi na kuiuza bila...

CCM Wamshitaki Nape ..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 25/4/2017..!!!

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us