KINGAZI BLOG: 02/04/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 4 February 2017

DOWNLOAD VIDEO: Ben Pol ft. Mr Eazi – PHONE

  ...

USIPITWE NA HII, TRENI ZA UMEME KULETWA TANZANIA. SERIKALI YATOA NENO

Hatimae serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya uchukuzi imesaini mkataba wa awamu ya kwanza ya ujenzi wa Reli ya kisasa itakayowezesha Treni zinazotumia umeme kuanza kufanya kazi kwa mara ya kwanza Tanzania. Waziri wa uchukuzi Profesa Makame Mbarawaamesema ‘Sasa hivi kutoka Dar es salaam kwenda Mwanza unatumia saa 36 ambapo kuna kilometa 1219 lakini Treni mpya za umeme zikianza kufanya kazi...

Makonda Amtaja Na Vee Money na Tunda Ishu ya Madawa ya Kulevya....Waliokaidi Agizo Lake Leo Kukamatwa

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameagiza kukamatwa kwa watu aliowataja jana kuhusika na dawa za kulevya ambao hawajajisalimisha kituo cha polisi leo, kama alivyoagiza Makonda aliyefika katika Kituo Kikuu cha Polisi, amesema watu wao ambao hawajajisalimisha, wasakwe kokote waliko, na wawekwe ndani. "Kuna watu tuliwaita, baadhi nimeambiwa hawajafika, ambao hawajafika nimeagiza wakachukuliwe wakae ndani...

Wale Wanajeshi waliochangia kifo cha Kondakta Kwa Kipigo,Sasa Serikali Imechukua Hatua Hii Dhidi yao.

ASKARI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Sajini John Komba na wenzake wanne wakiwemo mgambo na wanafunzi wa jijini hapa, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga kwa kosa la kusababisha kifo cha aliyekuwa kondakta wa daladala inayosafiri kati ya Nguvumali na Raskazoni, Salim Kassim (18) mkazi wa Mwamboni. Wakili wa Serikali, Donata Kazungu akisoma shitaka hilo la mauaji...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya February 4

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us