KINGAZI BLOG: 01/09/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 9 January 2017

PICHAZ+++HUYU NDIYE MWANAMKE ALIYEIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA

Anaitwa YAONICEO ni moja ya wanawake wanaovunja rekord kwa sasa ya kuwa na umbo zuri zaidi na kujaaliwa kuwa na makalio makubwa zaidi kuliko wanawake wote waliowahi kushiriki shindano la kutafuta mwanamke mwenye makalion makubwa zaidi linalofanyika kila mwaka katika jiji la los angeles nchini marekani ...

Kundi la kigaidi la ISIS laishambulia Israel.......Wanne Wauawa

Kundi la kigaidi linalojiita ‘Islamic State of Iraq and Syria’ (ISIS) kwa mara ya kwanza limetajwa kufanya mashambulizi ya mlengo wa kigaidi Jerusalem nchini Israel. Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema kuwa shambulizi la kutumia roli lililowaua watu wanne na kujeruhi wengine 17 lilifanywa na kijana wa Palestina aliyetumwa na kundi la ISIS. Israel ilifanya kikao cha dharura cha kabineti...

Serikali yafanya mabadiliko tena !!Elimu ya Msingi mwisho Darasa la sita

SERIKALI imefanya mabadiliko makubwa katika mitaala na mfumo wa elimu ya msingi, MTANZANIA imebaini. * Yaweza kuwa mwisho wa darasa la sita, masomo yapunguzwa Habari za uhakika  kutoka vyanzo vya kuaminika na kuthibitishwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, zinasema mabadiliko hayo ambayo utekelezaji wake unaanza leo, yatagusa aina ya masomo yatakayofundishwa kuanzia darasa la tatu. Kwa...

Karoti na tangawizi vinavyoweza kukuondolea upungufu wa nguvu za kiume

Juisi ya karoti na mchanganyiko wa tangawizi huupatia mwili vitamin A, K, ambazo kwa pamoja husaidia na kulinda afya zetu. Uwepo wa tangawizi ndani ya juisi hii umekuwa ukiifanya juisi hii kuwa suluhisho la matatizo ya kukatika kwa nywele na kuzifanya kuwa imara zaidi.Hivyo ni juisi nzuri kwa wanawake wanaopenda urembo wa nywele. Hukinga dhidi ya saratani, matumizi ya juisi ya karoti yenye mchanganyiko...

Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam Dr. Valentino Mokiwa Avuliwa uaskofu

Sakata la Mgogoro wa Kanisa Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dar es salaam, linazidi kuchukua sura mpya,kufuatia Askofu wa Dayosisi hiyo,Dokta Valentino Mokiwa,kugoma kujiuzulu na kustaafishwa kwa manufaa ya Kanisa hilo kama alivyotakiwa na Mhasham Askofu wa Jimbo kuu la Tanzania,Dokta Jacob Erasto Chimeledya. Hatua ya Dokta Mokiwa,kutakiwa kufanya hivyo,ni agizo la nyumba ya maaskofu la kuundwa tume...

Habari kuuKatika Magazeti ya Leo Jumatatu ya January 9 2017

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us