KINGAZI BLOG: 10/19/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 19 October 2016

MPYA: HII HAPA LIST YA MAJINA YA FIRST YEAR WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU SUA 2016/17

                              Loan Allocations for SUA First Year Students in Academic year 2016/2017 Click to Download >> BOFYA HAPA KUONA MAJINA YOTE ...

"SCORPION" MTOA MACHO AFUTIWA KESI ILIYOKUWA INAMKABILI.

Mahakama ya Wilaya ya Ilala, imemfutia shtaka linalomkabili mshtakiwa Salumu Njwete baada ya upande wa mashtaka kuomba shtaka hilo liondolewe mahakamani kwa sababu hawana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Kutokana na maombi hayo, Hakimu Adelf Sachore amekubaliana na ombi hilo kwa kuzingatia kifungu namba 91 kifungu kidogo cha kwanza cha sheria ambacho kinampa Mamlaka Mkurugenzi Wa Mashtaka nchini...

HAYA HAPA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KOZI YA MEDICINE CHUO KIKUU CHA HUBERT KAIRUKI

BOFYA HAPA KUONA MAJINA YO...

MPYA:SECOND BATCH YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA SUA 2016/2017

                               UPDATED:Second batch of Students Selected to Join Undergraduate and Non Degree Programmes for Academic Year 2016/2017 The following applicants have been selected to join various undergraduate and Non degree programmes for the 2016/2017 academic year which starts on the 17th October,...

MPYA:AWAMU ZOTE TATU ZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA SEKOMU-TANGA

  ROUND 1 ROUND 2 ADMITTED APPLICANTS BACHELOR OF SCIENCE WITH EDUCATION DMITTED APPLICANTS BACHELOR OF EDUCATION SPECIAL NEEDS SCIENCE-- > SPECIAL NEEDS FOR ARTS STUDIES 1.JOINING INSTRUCTIONS [DIPLOMA & CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICI...

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU IRINGA THIRD BATCH 2016/2017

THIRD SELECTION FOR DEGREE PROGRAMMES 2016 - 2017 Congratulations! The following students have been admitted to join various first degree programmes for 2016-2017 Academic year for the third selection batch Bachelor of Arts in Journalism S/NLASTNAMEFIRSTNAMEMIDDLESEX 1MOHAMMEDAHMEDABDIM 2WAZIRIMWANAIDITF Bachelor of Laws 1OMARYHABIBASAIDF 2MAKWAIACLARAAF 3YUSUPHJANEMF Bachelor of Education...

Panya Road Apewa Kipigo Kizito na Wananchi .....Azinduka Akiwa Mochwari

Mtoto Isack Ernest (16) anayetuhumiwa kuwa ni mhalifu, maarufu Panya Road, amezinduka akiwa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Isack ni miongoni mwa vijana watano waliopigwa na wananchi wenye hasira kwa madai ya kuiba mali zao hali iliyosabisha apoteze fahamu na kudhaniwa amefariki dunia. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda...
 

Gallery

Popular Posts

About Us