KINGAZI BLOG: 12/26/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 26 December 2016

Rais Magufuli Atoboa Siri ya Kula Christmass Mkoani Singida

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania,Dk.John Pombe Magufuli,amefichua siri ya kusali Krismasi kwenye kanisa la Parokia ya Moyo wa Yesu, mjini Singida mwaka huu. Ametaja siri hiyo kuwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita, aliwahi kusali kwenye kanisa hilo na wakati akitoka, alikutana na sista mmoja (hamkumbuki jina) ambaye alimzawadia rozali, na kumwahidi kuwa itamsadia kushinda uchaguzi...

PICHA 14: Kutoka Vodacom Wasafi Festival Dec 25 mkoani Iringa

Ni Usiku wa Dec 25, 2016 ambapo wakali wa Bongo Fleva akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize, Rayvanny, Queen Darleen, Q Boy, Chege pamoja na msanii kutoka Nigeria Kcee waliiandika historia katika mkoa wa Iringa. Show hiyo iliyopewa jina la Vodacom Wasafi Festival ilifanyika katika uwanja wa Samora Stadium, hizi ni baadhi ya picha kutoka mahali palipofanyika tamasha hilo. .Queen Darleen . .Rayvanny . .Harmonize .Pichani:(Kulia)...
 

Gallery

Popular Posts

About Us