Kijana mmoja nchini Malawi Fletcher Jere (26) amefariki dunia kutokana na kuzidiwa utamu wakati akifanya ngono na kahaba mmoja mjini Blantyre.
Gazeti la Daily Times nchini Malawi limeripoti kuwa kijana huyo alinunua kahaba huyo maeneo ya Ndirabe katikati ya jiji la Blantyre.
Afisa wa Polisi mjini Blantyre Bi.Edina Ligowe amesema Jerre alikufa kutokana na kuwa na hisia za juu sana pamoja...
Sunday, 19 March 2017
Hii ni kali ya mwaka!!!Jamaa Afariki Dunia kwa Kuzidiwa Utamu wa Mapenzi
Published Under
TOP STORIES
SHARE!
Picha 4: Kivuko Kipya chaanza Kazi Kigamboni Dar
Published Under
TOP STORIES

kikielea majini baada ya kushushwa kwa mara ya kwanza tayari kwa kufanyiwa ukaguzi wa mwisho kabla ya kuanza kazi. Kivuko hicho kitakua kikitoa huduma zake kati ya Magogoni na Kigamboni na kitakua na uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 kwa wakati mmoja.
Muonekano wa kivuko kipya cha MV KAZI mara baada ya kushushwa majini kwa mara ya kwanza tayari kwa kufanyiwa ukaguzi wa mwisho kabla...
SHARE!
Paul Makonda Hafai Kuwa Kiongozi- Eric Shigongo
Published Under
TOP STORIES

Kupitia ukrasa wake wa Facebook @ericshigongo ameandika hivi- Wiki Chache zilizopita nilimsifia Paul Makonda hapa, lakini kwa anachodaiwa kukifanya Clouds usiku, nafuta sifa nilizompa! Hafai kuwa kiongozi. Kwa Mahali tulipo kama taifa hatuhitaji kiongozi wa aina hii hata kidogo.
Nampenda sana Rais John Pombe Magufuli, sipo tayari kuona rais wangu anatukanishwa na iasi hiki na matendo yanayofanywa...
SHARE!
Hii hapa Taarifa muhimu kwa Umma kutoka Clouds Media leo March 19 kuhusu yote yaliyotokea
Published Under
TOP STORIES

...
SHARE!
Waziri Nape: Nakwenda Clouds Media kuona kilichotokea, Ni kuhusu Ishu ya RC Makonda
Published Under
TOP STORIES

Waziri Nape: Nakwenda Clouds Media kuona kilichotokea, Ni kuhusu Ishu ya RC Makonda
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kupitia account yake ya twitter ameyaandika haya…...
SHARE!
Makubwa!!!Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite hebu ona hapa 👇👇
Published Under
TOP STORIES
Askofu Gwajima atoa cheti cha Daudi Albert Bashite (S0546/0016) na kusema kuwa alipata F masomo yote ya Sekondari hadi Bible Knowledge.
Matokeo hayo ni ya Kidato cha nne, Shule ya Sekondari Pamba.
Alama ni kawa ifuatavyo...
Civics - F
History - F
English - F
Geography - F
Biology - F
Kiswahili - F
Mathematics - F
Physics - F
Chemistry - F
Bible Knowledge - F
Source: ...
SHARE!
Diamond Platnumz kapata dili mpya kwenye kampuni hii
Published Under
TOP STORIES
Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul (Diamond Platnum) amekuwa Balozi wa Bidhaa za GSM na kuwataka watanzania wanunue bidhaa hizo kuacha kutumia gharama kwa kufuata nje ya nchi.
Akizungumza leo na waandishi wa habari, Diamond amesema kuwa licha ya kuwa balozi katika bidhaa za GSM ameweza yeye kununua kutokana vitu mbalimbali katika maduka hayo.
Amesema kuwa GSM walikuwa na uwezo wa kutafuta wasanii...
SHARE!
Uliipata hii??OBAMA ADAIWA KUM 'HACK' DONALD TRUMP NA MERKEL
Published Under
TOP STORIES

Rais wa marekani Donald Trump amesisitiza msimamo wake kwamba alidukuliwa na utawala wa rais Obama ,akimwambia mgeni wake kansela wa Ujerumani Angela Merkel kwamba kuna ''kitu kinachowaleta pamoja''.
Vikosi vya ujasusi nchini Marekani chini ya utawala wa rais Obama vilidaiwa kuipeleleza simu ya Angel Merkel hatua iliozua hisia kali.
Lakini viongozi wa Republican pamoja na wale wa Democrat wanasema...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)