Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photograph
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Harnaam Kaur Women are put under a lot of pressure to look...
Saturday, 17 September 2016
Nuh: Siwezi kamwe Kurudiana Na Shilole

MSANII wa Bongo Fleva anayetamba na Wimbo wa Jike Shupa, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amesema kuwa japo kuna tetesi zinaenea mtaani kwamba amerudiana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ suala hilo halina ukweli wowote ndani yake na wala hafikirii kabisa kurudiana na mwanadada huyo.
Tetesi za Nuh kurudiana na Shilole zilianza kuvuma baada ya kusambaa kwa kipande cha video kilichowaonesha...
SHARE!
Picha: Raymond aonyesha mjengo anaoishi
Published Under
TOP STORIES

Nyumbani kwa Rayvany WCB
Ndoto ya wasanii wengi ni kupata maisha bora, nyumba mzuri pamoja na magari ya kifahari. Mkali wa wimbo ‘Natafuta Kiki’ Raymond ‘Rayvanny’ ameonyesha mafanikio aliyopata ndani ya muda mfupi.
Muimbaji huyo ambaye anajiandaa kwenda kwenye show nchini Burundi akiwa na wasanii wenzake wa WCB, ameonyesha nyumba anayoishi na gari ambalo atalitumia kwa sasa.
“Daaah! eti namimi...
SHARE!
WANAFUNZI 24,616 KATI YA 55,347 WAMEKOSA NAFASI YA KUCHAGULIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA,PCB,CBG,PCM WAONGOZA
Published Under
KITAIFA
Wanafunzi 24,616 kati ya 55,347 waliomaliza kidato cha sita wamekosa nafasi ya kujiunga na vyuo vikuu kutokana na ushindani kwenye baadhi ya kozi, jambo lililoilazimu Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuongeza muda wa udahili.
Uamuzi huo wa TCU, unakuja siku moja baada ya kulegeza vigezo vya wanafunzi wa stashahada kujiunga na shahada ya kwanza katika vyuo vikuu...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)