KINGAZI BLOG: 09/17/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday 17 September 2016

CHECK PICHA ZA HARUSI YA YULE MWANAMKE WA AJABU DUNIANI,

Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photograph
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Urban Bridesmaid Photography
Harnaam Kaur Women are put under a lot of pressure to look great everyday. Brides are put under pressure to be hairless and look the part on their wedding day. 
I wanted to portray and show the world a diverse image of what a woman is. I wanted to show that you can just be you and still look beautiful ... To appear in the photo shoot meant that I could delve into another concept of photography and modeling. It meant that I could appeal to brides and show them that regardless of what you look like, you will be perfectly beautiful on your wedding day. I absolutely loved doing the photo shoot. I do not know if I will ever get married myself, but this photo shoot did make me smile, and modeling in a white wedding dress was amazing.

Nuh: Siwezi kamwe Kurudiana Na Shilole

MSANII wa Bongo Fleva anayetamba na Wimbo wa Jike Shupa, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amesema kuwa japo kuna tetesi zinaenea mtaani kwamba amerudiana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ suala hilo halina ukweli wowote ndani yake na wala hafikirii kabisa kurudiana na mwanadada huyo.

Tetesi za Nuh kurudiana na Shilole zilianza kuvuma baada ya kusambaa kwa kipande cha video kilichowaonesha wakipatanishwa wakati wakiwa kwenye safari za Tamasha la Fiesta na watu kujiongeza kuwa wamerudiana.

Nuh Mziwanda akiwa na mpenzi wake wa zamani Zuwena Mohammed ‘Shilole’.

“Kilichotokea ni kwamba mimi na Shilole tumeondoa tofauti zetu za kibinadamu ambazo tulikuwa nazo baada ya kuachana.

Lakini kuhusu kurudiana hahitakuja kutokea hata siku moja na siwezi kurudi nyuma kwenye hili maana nina mpenzi wangu ninayempenda,” alisema Nuh.

Picha: Raymond aonyesha mjengo anaoishi

Nyumbani kwa Rayvany WCB

Ndoto ya wasanii wengi ni kupata maisha bora, nyumba mzuri pamoja na magari ya kifahari. Mkali wa wimbo ‘Natafuta Kiki’ Raymond ‘Rayvanny’ ameonyesha mafanikio aliyopata ndani ya muda mfupi.

Muimbaji huyo ambaye anajiandaa kwenda kwenye show nchini Burundi akiwa na wasanii wenzake wa WCB, ameonyesha nyumba anayoishi na gari ambalo atalitumia kwa sasa.

“Daaah! eti namimi leo naingia kwangu, kweli Mungu hana upendeleo,” Rayvanny aliandika ujumbe huu instagram katika hiyo picha hapo juu.

Toka Rayvanny ajiunge na WCB, ameshafanya nyimbo mbili, ‘Kwetu’ pamoja na ‘Natafuta Kiki’ ambazo zimpatimia mafanikio makubwa kwa muda mfupi.

WANAFUNZI 24,616 KATI YA 55,347 WAMEKOSA NAFASI YA KUCHAGULIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA,PCB,CBG,PCM WAONGOZA


 Wanafunzi  24,616 kati ya 55,347 waliomaliza kidato cha sita wamekosa nafasi ya kujiunga na vyuo vikuu kutokana na ushindani kwenye baadhi ya kozi, jambo lililoilazimu  Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuongeza muda wa udahili.
Uamuzi huo wa TCU, unakuja siku moja baada ya kulegeza vigezo vya wanafunzi wa stashahada kujiunga na shahada ya kwanza katika vyuo vikuu mbalimbali nchini.
Kaimu Katibu Mkuu wa TCU, Eleuther Mwageni alisema wanafunzi waliokosa nafasi walikuwa na sifa stahiki, hivyo tume inaongeza muda wa siku 11 kuanzia Septemba 12 hadi 23 ili kutoa nafasi kwa waliokosa vyuo kufanya maombi upya kwenye kozi tofauti na za awali
 

Gallery

Popular Posts

About Us