KINGAZI BLOG: 09/17/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 17 September 2016

CHECK PICHA ZA HARUSI YA YULE MWANAMKE WA AJABU DUNIANI,

Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photograph Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Urban Bridesmaid Photography Harnaam Kaur Women are put under a lot of pressure to look...

Nuh: Siwezi kamwe Kurudiana Na Shilole

MSANII wa Bongo Fleva anayetamba na Wimbo wa Jike Shupa, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amesema kuwa japo kuna tetesi zinaenea mtaani kwamba amerudiana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ suala hilo halina ukweli wowote ndani yake na wala hafikirii kabisa kurudiana na mwanadada huyo. Tetesi za Nuh kurudiana na Shilole zilianza kuvuma baada ya kusambaa kwa kipande cha video kilichowaonesha...

Picha: Raymond aonyesha mjengo anaoishi

Nyumbani kwa Rayvany WCB Ndoto ya wasanii wengi ni kupata maisha bora, nyumba mzuri pamoja na magari ya kifahari. Mkali wa wimbo ‘Natafuta Kiki’ Raymond ‘Rayvanny’ ameonyesha mafanikio aliyopata ndani ya muda mfupi. Muimbaji huyo ambaye anajiandaa kwenda kwenye show nchini Burundi akiwa na wasanii wenzake wa WCB, ameonyesha nyumba anayoishi na gari ambalo atalitumia kwa sasa. “Daaah! eti namimi...

WANAFUNZI 24,616 KATI YA 55,347 WAMEKOSA NAFASI YA KUCHAGULIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA,PCB,CBG,PCM WAONGOZA

   Wanafunzi  24,616 kati ya 55,347 waliomaliza kidato cha sita wamekosa nafasi ya kujiunga na vyuo vikuu kutokana na ushindani kwenye baadhi ya kozi, jambo lililoilazimu  Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuongeza muda wa udahili. Uamuzi huo wa TCU, unakuja siku moja baada ya kulegeza vigezo vya wanafunzi wa stashahada kujiunga na shahada ya kwanza katika vyuo vikuu...
 

Gallery

Popular Posts

About Us