Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Kanali Martin Mkisi, ameondolewa katika wadhifa huo na kurejeshwa jeshini.
Akithibitisha habari hizi, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu (DAS), Titus Mughuha, amesema Kanali Mkisi alitoa taarifa za uhamisho huo katika kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama na kusema kuwa, anarejea makao makuu ya jeshi alikokuwa awali kabla ya kuteuliwa kushika...
Tuesday, 14 March 2017
Taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Kasulu kuondolewa na Kurejeshwa Jeshini
Published Under
TOP STORIES
SHARE!
Kumbe Wimbo ‘Niambie’ ilikuwa ni dedication ya Harmonize kwa Wolper.
Published Under
TOP STORIES

Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amedai idea ya wimbo wake mpya ‘Niambie’ ilitokana na aliyekuwa mpenzi wake, Jacqueline Wolper.
Muimbaji huyo amedai alishindwa kujua ni kwanini malkia huyo wa filamu alimpenda na kuwatosa wenye pesa zao ambao walikuwa wanamnyapia nyapia.
“Watu wamekuwa wakisema hatuendani mimi na Wolper huenda kwa sababu yeye alianza kuwa staa kabla yangu wakati huo nikiwa...
SHARE!
Mourinho asema ""nitabaki Yuda namba moja""
Published Under
TOP STORIES

Kocha wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho amewajibu mashabiki wa Chelsea waliokuwa wakimuita ‘Yuda’ katika mechi ya Kombe la FA robo fainali dhidi ya Chelsea.
Sehemu moja ya mashabiki ilipiga kelele “F*** off Mourinho”, “Wewe si Special tena” na “ni Yuda” wakimaanisha msaliti katika ushindi wa Chelsea wa 1-0 katika uwanja wa Stamford Bridge.
Katika mahojiano na waandishi wa habari baada...
SHARE!
Fake News: Watangazaji 9 wa TBC Waliotangaza Trump Amsifia Rais Magufuli, Wasimamishwa Kazi...!!
Published Under
TOP STORIES

Wafanyakazi tisa wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wamechukuliwa hatua za kinidhamu kufuatia kurusha habari ya uongo kuhusu Rais Dkt John Pombe Magufuli.Wafanyakazi hao wamesimamishwa kazi kufuatia kurusha taarifa ya uongo kutoka tovuti ya fox-channel.com ambayo ilidai kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amempongeza Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa utendaji wake mkubwa na vita dhidi...
SHARE!
Rais Magufuli amepiga simu Clouds Tv na kuzungumza na mwanamuziki Diamond Platnumz baada kusikia maombi yake
Published Under
TOP STORIES

Mwanamuziki Diamond Platnumz amepata nafasi ya kuzungumza na Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli kuhusu hali ya wasanii ilivyo nchini na kuomba serikali kuunga mkono juhudi zao ili kulisaidia taifa kuongeza pato na wasanii kupata faida kutokana na kazi wanazozifanya.
Diamond amezungumza na Rais Magufuli kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa katika kituo cha runinga cha Clouds Tv na kumwambia...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)