KINGAZI BLOG: 03/21/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 21 March 2017

Job Opportunity at World Vision, Livelihood Specialist

Livelihood Specialist- Nzega Cluster Reference :6658-16G12153 Location : Africa - Tanzania Town/City : Arusha Application Deadline Date : 03-Apr-17 Category : Food Security & Livelihood Type :Fixed term, Full-time International Role :No - Only National applicants will be considered. Duration : 1-2 Years Job Description Purpose of the position: To provide Leadership and technical support in...

MPYA : Isome Barua Aliyoandika TUNDU LISSU kwa Magufuli Kuhusu Sakata la Makonda

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) Tundu Lissu ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu amemuandikia waraka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli. Hii ni barua ya kwanza ya Tundu Lissu kama Rais wa TLS kwenda kwa Rais, ikumbukwe kuwa Rais hapo jana alisema hataki kuambiwa nini cha kufanya kwa sababu yeye ni Rais anayejiamini, na hapangiwi nini...

SOMA HII!! Mwanamke akikwambia haya ujue huyo siyo mkweli, hafai.

Nimefanya 'kautafiti kangu kasicho rasmi' nikagundua maneno haya kutoka kwa wanawake wakikwambia usiwaamini hata kidogo.. Karibuni mchangie mada, ukiwa na la kuongezea ongezea ili tujifunze. 1.Ungejua wala sina haraka ya kuolewa! Hakuna mwanamke ambaye yuko tayari kuona umri unamkimbia, ameshahudhuria harusi za marafiki zake, pengine ameshaliona mpaka gauni litakalompendeza harusini halafu eti akuambie...

Gwajima Afunguka Mengine Mapya Aliyofanyiwa Polisi..Adai Walitaka Kumchoma Sindano!!

Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima, Josephat Gwajima ameieleza mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kuwa ofisa wa jeshi la polisi alitaka kumchoma sindano bila ridhaa yake wakati alipolazwa kwenye hospitali ya polisi Oysterbay. Askofu Gwajima ameyasema hayo wakati akiongozwa na wakili wake Peter Kibatala alipokuwa akitoa utetezi katika kesi ya kushindwa kuhifadhi silaha inayomkabili na wenzake watatu,...

Magufuli amkingia kifua Makonda...Habari kuu Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya March 21.

...

Pichaz++ Usipitwe na hii ya Magufuli alivyopanda basi la mwendokasi akielekea ubungo jana.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 20 Machi, 2017 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za juu kwenye makutano ya barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam (Ubungo Interchange). Sherehe za kuweka jiwe la msingi katika mradi huo zimefanyika kando ya makutano ya barabara hizo na kuhudhuriwa na Rais wa Benki...
 

Gallery

Popular Posts

About Us