
Hii habari ya majasusi wa USA, majasusi hawa wa America wenye Asili ya korea wamejipenyeza ndani ya korea kaskazi kuanzia December mwaka jana
Na kwa taarifa zilizovuja Rais wa korea kaskazin ameamuru kusitisha Visa kwa raia wanaotoka nchi za magharibi kutokuingia North Korea kwa muda usiojulikana
Pia ametoa wito kwa raia wazalendo wa korea kaskazin kutoa taarifa kwa mtu yeyote wanaemshukia...