KINGAZI BLOG: 09/03/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 3 September 2016

ALIYEAMUA KUMUUZA MKEWE ANUNUE iPHONE 6

Mwanafunzi wa Chuo kikuu kimoja cha China ambaye jina lake halikutambulika kwa haraka ameamua kufanya ‘uchizi’ ili mradi tu aipate pesa ya kununua aina mpya ya iPhone iliyoingia sokoni, iPhone6. Kijana huyo wa alionekana akiwa nje ya chuo kikuu cha Songijiang akiwa na bango kubwa lililoandikwa kwa kichina na kutafsiriwa ‘Girlfriend Sharing’.  Katika tangazo hilo kijana huyo anaeleza kuwa...

Daktari Apatikana na Video ya Watu Wakishiriki Ngono na Nyoka

UINGEREZA: Daktari mmoja nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwa na video za ngono, ikiwemo moja ya mwanamume akishiriki ngono na nyoka. Cyprian Okoro, 55, kutoka Kusini Magharibi mwa London alipatikana na makosa matano ya kuwa na video za ngono ya kuchukiza zaidi pamoja na picha moja ya utupu ya mtoto. Kwenye moja ya video hizo, kulikuwa na wanawake wakishiriki ngono na mbwa na nyingine...

TCU Yatangaza Kuanza Udahili Awamu ya PILI Kwa Wanafunzi wanaojiunga Vyuo Vikuu Ambao Wamekosa Nafasi Kwenye Awamu ya Kwanza

Tunapenda kuutangazia Umma kuwa tulifunga mfumo wa pamoja wa udahili tarehe 31/08/2016 saa sita usiku ili kuchakata maombi ya waombaji waliofanikiwa kuomba udahili kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Hata hivyo kutokana na wengine kushindwa kufanikiwa kutokana na sababu mbali mbali, Tume inatangaza kuwa itafungua maombi kwa awamu ya pili kuanzia tarehe 12 hadi 23 Septemba 2016 ili kuruhusu makundi...

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI KWENYE HABARI ZA KITAIFA NA UDAKU NA MICHEZO

...

Bodi ya Mikopo Kuwapa mkopo kwa Waombaji wote mwaka huu.

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema wale wote walioomba mkopo mwaka huu na kukidhi vigezo watapewa. Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru alisema hayo juzi mjini hapa wakati wa hafla ya kukabidhi vyeti kwa watu watano waliorejesha mkopo wa elimu ya juu kwa mkupuo na kwa hiari. Badru alisema idadi ya walioomba mkopo mwaka huu ni wanafunzi 88,000...

HIZI HAPA SIFA PEKEE ZA MWANAMKE WA KUMUOA NA KUDUMU NAYE KATIKA MAISHA

Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha. Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachowezakuwafanya wakapata wachumba niuzuri hivyo kupoteza muda wao kujichubua na kujiremba ili...

Daraja la Kioo China Lasitishwa Kutumika Baada ya Wiki 2

Zhangjiajie, China: Daraja la kioo ambalo limeelezwa kuwa liko juu zaidi liliziduliwa hivi karibuni nchini China ambapo lina urefu wa zaidi ya futi 1400, upana wa futi 20 na karibu futi 1000 kutoka kwenye ardhi na imeripotiwa kuwa kioo chake ni imara zaidi mara 25 zaidi ya kioo cha dirisha. Daraja hilo la wapita kwa miguu lijulikanalo kwa jina la daraja la Zhangjiajie lilizinduliwa August 20 mwaka...
 

Gallery

Popular Posts

About Us