KINGAZI BLOG: 12/09/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 9 December 2016

Hofu yatanda binti aliyechunwa ngozi karatu

HOFU imetanda wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha baada ya tukio la kwanza la uchunaji ngozi kuripotiwa katika mji mdogo wa Karatu. Binti mdogo mwenye umri wa miaka tisa, ameuawa mjini Karatu baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana wakati akielekea machungani na mifugo. Mtoto huyo, Witness Andrew ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza kwenye Shule ya Msingi ya Sumawe, alipatikana...

YULE MZEE MWENYE TANGAZO LA KUTAFUTA MKE TAYARI AMEPOKEA MAOMBI YA NDOA 30...WANAWAKE WAZIDI KUMIMINIKA

MZEE Athuman Mchambua (76), ambaye ameweka tangazo nyumbani kwake la kutafuta mke, ameongeza sharti jipya kwa mke anayemuhitaji. Amesema licha ya kupokea simu nyingi kutoka maeneo mbalimbali nchini, lakini amewataka wanawake ambao atawafanyia usaili, hasa kwa yule ambaye atakuwa ameshinda, kutobweteka kwani atakuwa katika kipindi cha mpito cha ndoa yake. Mzee huyo amelieleza gazeti la Mtanzania...
 

Gallery

Popular Posts

About Us