KINGAZI BLOG: 10/22/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 22 October 2016

DIAMOND: Nitaudhihirishia Ulimwengu Afrika Mashariki Kuna zaidi ya Wasanii

Diamond Platnumz yupo kwenye mission – ya kuuonesha ulimwengu kuwa Afrika Mashariki si ya mchezo mchezo kwenye muziki. Akipost picha akifanya rehearsal na dancers wake kwenye ukumbi wa Ticket Pro jijini Johannesburg patakapofanyika tuzo hizo, Diamond ameandika, “Tafadhali sana ndugu zangu naomba kesho msikose kutazama tunzo za MTVMAMA…. kijana wenu nimepanga kuwadhihilishia Ulimwengu Kuwa Africa...

BREAKING NEWS: MSANII JB AJALI YA GARI

Mwigizaji wa filamu na mtayarishaji, Jacob Stephen ‘JB’ Ijumaa hii amenusurika kifo katika ajali ya gari. Mwigizaji huyo ambaye hivi karibuni alikuwa mkoani Arusha katika shindano la Mama Shujaa, amewataka mashabiki wake kutambua kwamba anaendelea vizuri pamoja na wanzake ambao walikuwa kwenye gari hilo. Asanteni wote mlionipa pole kwa ajali ya jana,” aliandika JB instagram. “Hakika Mungu ni Mwema,...

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA DIPLOMA-AFYA CHUO KIKUU UDOM BATCH 1 2016/2017.

KUONA MAJINA  >>BONYEZA HAPA<<...

MPYA: HII HAPA TAARIFA MUHIMU TOKA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) KUHUSU AWAMU YA TAU YA UDAHILI.

                                                                       TAARIFA KWA UMMA  Tume ya vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa maombi ya waombaji wa vyuo vikuu, vyuo Vikuu Vishiriki na Taasisi za elimu ya juu kwa awamu ya Kwanza, ...

Download: Tekno – Diana (Official Video)

As expected Tekno serves up  the official video to his latest single “Diana”. The Triple MG superstar is ending the year on a very high note, same way he started the year. Dropping chart-topping singles and accompanying them with amazing visuals. Enjoy! ...

PICHA++ MAZOEZI YA KIJESHI YALIYO MAGUMU ZAIDI ULIMWENGUNI

Mazoezi kwa wanajeshi ni kitu cha muhimu sana. Majeshi duniani huhakikisha kuwa wanawafunza wanajeshi wao mafunzo ya kuikakamavu kuweza kuwajenga kimwili na kiakili ili kuweza kupambana na hali tofauti tofauti wanazokumbana nazo wakiwa vitani au katika mazingira mengine. Hizi hapa ni picha za majeshi tofauti tofauti duniani zikionyesha mazoezi magumu ambayo huwa wanfanya. Wanajeshi wa China wakifanya...

Picha: Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete Alipokutana na Mtoto Aliyepewa Jina Lake Nchini Msumbiji.

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Maputo nchini Msumbiji amepata nafasi ya kukutana na mtoto aliyepewa jina lake kama heshima kwake. Rais Jakaya Kikwete kupitia akaunti yake ya Twitter aliandika “I have met in Maputo a boy named after me. His name is Kikwete.” Mtoto huyo aliyekutana na Rais Jakaya Kikwete ambaye na yeye anaitwa ‘Kikwete.’ Katika...

MAAJABU!!!!!! MWANAMKE WA MIAKA 65 AJIFUNGUA WATOTO WATATU...HEBU MSHUHUDIE HAPA

Mwanamke mwenye umri wa miaka 65 nchini Ujerumani amejifungua watoto watatu baada ya kutunga mimba kwa njia za kupandikiza kisayansi. Kituo cha runinga cha RTL nchini Ujerumani kimesema mwanamke huyo Annegret Raunigk, amejifungua watoto wawili wa kiume na mmoja wa kike kwa njia ya upasuaji Jijini Berlin. Watoto hao wamezaliwa kabla ya muda wao wakiwa na wiki 26, hata hivyo madaktari wamesema...

Man U yang'ara ligi ya Europa..Paul Pogba Afuta Nuksi ya mda mrefu

Paul Pogba alifunga mara mbili wakati Manchester United walipoibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya klabu ya Fenerbahce katika kundi A. Pogba mchezaji ghali zaidi duniani alifunga goli la kwanza kwa penalti baada ya Juan Mata kuangushwa ndani ya eneo la hatari, kisha baadaye kuandika bao la pili baada ya kupokea pande safi kutoka kwa Jesse Lingard. Bao la Robin Van Persie lilishangiliwa na mashabiki...

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI YA TAR 22 OKTOBA

. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us