KINGAZI BLOG: 10/11/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 11 October 2016

Taarifa Kwa Waombaji Wa Mikopo Ya Elimu ya Juu (HESLB ) Kuhusu Kumalizika Kwa Zoezi La Kurekebisha Taarifa Za Waombaji

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekamilisha zoezi la kurekebisha fomu za maombi ya mikopo kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Zoezi hilo lilianzatarehe 3 na kumalizika tarehe 7 Oktoba 2016.   Kwa sasa Bodi inaendelea na hatua za awali za upangaji wa mikopo ambapo taarifa za wanafunzi watakaopangiwa mikopo zitatolewa kwenye tovuti ya Bodiwww.heslb.go.tz siku...

Updated++ HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017,

Vyuo Vikuu mbalimbali vimeanza kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kwenye vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017.Ili kuwarahisishia wasomaji wetu,tumeamua kukusanya vyuo vyote vilivyotoa majina (Selection).Chagua hapa chini chuo unachotaka KUONA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU 2016/2017CHUO KIKUU MUM >>>>BONYEZA HAPA CHUO CHA  UHASIBU-ARUSHA...

MAAJABU YA DUNIA WAFANYAKAZI WA KIKE WALAZIMISHWA YAFUATAYO KAZINI KILA SIKU SOMA HAPA LIVE!!

Female workers forced to line up and kiss their boss everyday before beginning work at Beijing company A company in Beijing has come up with an unusual and incredibly offensive way to improve working relations between employees and managers. Every morning, between 9:00 and 9:30 a.m., female staff members are required to line up and kiss their boss before beginning work at a company selling home...

MPYA: BODI YA VYUO VIKUU (TCU) MFUMO WA UDAHILI WA VYUO VIKUU KWA AWAMU YA TATU KWA WALIOKOSA SELECTIONAWAMU YA ZOTE MBILI

HABARI,                  BODI  YA  VYUO  VIKUU IMEFUNGUA MFUMO WA UDAHILI KWA AWAMU YA  TATU ILI KURUHUSU WOTE AMBAO HAWAKUPATA  NAFASI YA KUCHAGULIWA KWA  AWAMU MBILI ZILIZOTANGULIA KUWEZA  KUTUMA MAOMBI TENA KWA AWAMU YA TATU. KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPA CHINI >>>>>BOFYA HAPA KUPATA MAELEKEZO ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us