KINGAZI BLOG: 05/10/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 10 May 2017

MPYA:TAARIFA KWA UMMA KUTOKA SERIKALINI

...

MSANII Nikki Aiweka Sawa Kauli yake ya Uchunguzi wa Ajali iliyoua 32

Msanii wa muziki wa hip hop, Nikki wa Pili amefafanua kauli yake ya uchunguzi ufanyike katika ajali iliyoua 32 Arusha baada ya kudai kuna baadhi ya watu wameshindwa kuielewa kauli yake hiyo. Rapa huyo amedai kuwa ni jambo la utu kama tatizo litajulikana na kufanyiwa marekebisho kwa vitendo na siyo kuhukumu watu au kumtafuta mchawi nani kipindi hiki, huku akitaka asinukuliwe vibaya. “Nasikitika watu...

Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi watakiwa kuzingatia mipaka ya madaraka yao

Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini wametakiwa kuzingatia mipaka ya madaraka yao na kuhakikisha hatua wanazochukua katika utendaji wao zinafuata  Sheria ,Kanuni na Taratibu katika Utumishi wa Umma. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa jana Mei 9, 2017 wakati akifungua mafunzo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya katika  ukumbi wa Hazina...

Gobless Lema Alifikisha Bungeni Sakata la Kukamatwa mmiliki wa shule ya Lucky Vincent

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amehoji sababu za polisi kumshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vincent badala ya trafiki waliokuwa barabarani siku ya ajali iliyoua watu 35. Akiomba mwongozo wa Spika kuhusu jambo hilo leo, amesema katika eneo husika kuna vizuizi vya ukaguzi vinne lakini trafiki hawakuona kuwa basi hilo lilikuwa kimezidisha watoto na hawakuwa wamefunga mikanda. Amesema badala...

RAIS Zuma Kutua Nchini Leo!

Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma anatarajiwa kuwasili nchini leo (Jumatano) saa 10.00 jioni. Rasi Zuma atakuwa nchini kwa ziara ya siku tatu kufuatia mwaliko kutoka kwa Rais John Magufuli. Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Afrika Kusini. Katika ziara hiyo Rais Zuma ataandamana na mawaziri sita pamoja na wafanyibiashara zaidi ya 80 kutoka Afrika Kusini. Pia...

FAHAMU Jinsi ya Kusafisha Pasi Yako Endapo Itachafuka kwa Kuunguza Nguo!

Mara nyingi tumekuwa tukipata shida juu ya kusafisha pasi zetu za umeme punde tu inapokuwa imeanza kiushika uchafu. Pasi za umeme huchafuka kutokana na moto kuwa mwingi, kitendo kinachopelekea nguo, hasa za mpira, kunga’ang’ania na kuharibu pasi kwa kuifanya iwe ina mabaki ya nguo yaliosababishwa na moto wa pasi ya kunyooshea kuwa mkubwa. Tumesikia na pengine tumeshuhudia tukitumia steel wire, (dodoki...

WAZIRI a Magufuli Atajwa kwenye Sakata la Vyeti Feki..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 10/5/2017.

...

MBUNGE: Diamond Anadaiwa Milioni 400 Na TRA.

Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia ameliambia Bunge kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’, anadaiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zaidi ya Sh. milioni 400. Mbunge huyo aliyasema hayo bungeni jana wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Amesema Wilaya ya Kinondoni ina wasanii wengi maarufu na wamekuwa wakitoa mchango mkubwa...

Gobless Lema Alifikisha Bungeni Sakata la Kukamatwa mmiliki wa shule ya Lucky Vincent

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amehoji sababu za polisi kumshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vincent badala ya trafiki waliokuwa barabarani siku ya ajali iliyoua watu 35. Akiomba mwongozo wa Spika kuhusu jambo hilo leo, amesema katika eneo husika kuna vizuizi vya ukaguzi vinne lakini trafiki hawakuona kuwa basi hilo lilikuwa kimezidisha watoto na hawakuwa wamefunga mikanda. Amesema badala...

WAZIRI a Magufuli Atajwa kwenye Sakata la Vyeti Feki..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 10/5/2017.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us