KINGAZI BLOG: 09/15/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 15 September 2016

TCU YALEGEZA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA ELIMU YA CHUO KIKUU KWA WALIOSOMA DIPLOMA KUTOKA ALAMA ZA GPA YA 3. 5 HADI GPA YA 3.0 SOMA ZAIDI HAPO CHINI👇👇👇👇

Taarifa kwa waombaji wote wa nafasi za chuo, bodi ya vyuo vikuu TCU  imetoa vigezo vipya vya alama zitakazomuwezesha mwombaji kujiunga na elimu ya chuo kikuu, awali  ilikuwa ni GPA  ya 3. 5 lakini imepungua hadi kufikia GPA ya 3. 0 ili kuwawezesha watu wengi zaidi kuapply na kupata nafasi ya kujiendeleza. ...

BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI(FORM SIX) WALIOCHAGULIWA KAMPALA UNIVERSITY-KIU 2016/2017

First selection List of : Bachelors Programmes 71.32 KB Downlo...

HIVI HAPA VYUO NA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KWA MWAKA WA MASOMO 2016/17

HIVI HAPA VYUO NA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA Chuo Kikuu cha Ardhi, (ARU) Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU), International Medical and Technological University (IMTU) Moshi University College of Cooperative and Business Studies(MUCOOBS-MOCCU) Chuo Kikuu cha Mlima Meru Chuo Kikuu cha Muhimbili (MUHAS) Chuo Kikuu cha Morogoro (MUM) Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU) Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) Chuo...

Hatuhusiki Kumtafutia Mtu Ajira - Bodi ya Mikopo

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imesema kuwa haihusiki kumtafutia mnufaika wa mkopo ajira badala yake inahusika kumpatia mwanafunzi mkopo na akishamaliza muda wa masomo atatakiwa kurejesha mkopo wake.Hayo yamesemwa jana Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Cosmas Mwaisobwa wakati akijibu maswali ya wananchi...

Maneno ya Diamond kuhusu kumsaliti ZARI

Zari Hassan na Dimaond Platnumz Msanii Diamond Platnumz alipokuwa kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio wiki kadhaa zilizopita alifunguka na kusema kuwa katika maisha yake toka ameanza kuwa na mahusiano na Zari hajawahi kumsaliti. Diamond Platnumz anasema kuwa moja ya sababu kubwa kwa yeye kutomsaliti mpenzi wake huyo kwanza ni kwa sababu wanaonana mara kwa mara lakini kingine alidai...

Kilichoandikwa Leo Septemba 15, 2016 Katika Magazeti ya Tanzania

Karibu tukuletee kilichoandikwa kwenye vichwa vya habari vya  magazeti ya Tanzania. Visit websi...

Serikali Yabariki Wenye Jinsia Mbili Kuchunguzwa  

Mamlaka  ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali itakuwa na uwezo na mamlaka ya kuchunguza watu waliozaliwa na jinsi mbili na kubaini jinsi tawala yenye nguvu zaidi.  Muswada wa Sheria ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wa Mwaka 2016, uliopitishwa juzi usiku saa nne bungeni unampa Mkemia Mkuu mamlaka ya kuchunguza na kubaini jinsi ya mtu na kutatua utata kwa mtu atakayekuwa...

Mtuhumiwa: Niliiba mtoto wa siku 10 nimlee

POLISI mkoani Morogoro inamshikilia Anna Luambano (33) ambaye ni mkazi wa Kipawa jijini Dar es Salaam kuwa tuhuma za wizi wa mtoto, Angel Meck mwenye umri wa siku 10 baada ya kumlaghai mama wa mtoto huyo, Maimuna Mahamudu (20) mkazi wa Chamwino katika Manispaa ya Morogoro. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Ulrich Matei amesema wizi huo ulitokea Septemba 13, mwaka huu saa 5 asubuhi katika Mtaa wa Kilimahewa...

Watano kortini kwa kumdhalilisha Rais Magufuli

VIJANA watano wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumdhalilisha Rais Dk. John Magufuli na Jeshi la Polisi kutokana na mauaji ya askari polisi wanne waliouawa na majambazi katika eneo la Mbande na Vikindu, Dar es Salaam hivi karibuni. Washtakiwa hao walifikishwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam mbele ya mahakimu watano tofauti na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali,...
 

Gallery

Popular Posts

About Us