KINGAZI BLOG: 03/22/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 22 March 2017

ALICHOKISEMA ASKOFU GWAJIMA LEO ALIPOTEMBELEA CLOUDS MEDIA LEO TAR 22 ,

Askofu wa kanisa la Ufufuo na uzima Joseph Gwajima  Dar es Salaam. Askofu wa kanisa la Ufufuo na uzima Joseph Gwajima amezungumza na waandishi wa habari  wa Clouds Media Group  na kusema kilichomfanya afike katika ofisi hizo ni kutoa pole kwa kuwa yeye ni sehemu ya sababu za uvamizi huo. “Isingekuwa busara watu wavamiwe na mimi ni mhusika mkuu halafu nisije kutoa pole,”...

Kimenukaa..!!Vyombo vya Habari vyamfungia Makonda,vyakubalians Kutoonekana Kwenye Tv,Magazeti na Kusikika Redioni.

Jukwaa la Wahariri Tanzania limelaani kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar na kutangaza atakayeshirikiana naye, *hawatarusha matangazo yake.* "Utekelezaji agizo la kutokufanya kazi na RC Dar unaanza mara moja kwa vyombo vyote vya habari nchini, uamuzi huu waungwa mkono na UTPC"-TEF. kwa upande mwingine tena RC Makonda amefunguliwa Mashtaka matanoMeya wa Manispaa ya Ubungo, Boniphace...

Jinsi ya Kuokoa Simu Iliyoingia Maji

Unaweza ukawa mwangalifu sana ila, bahati mbaya inatokea na simu zetu zinaingia maji. Sasa, kwa kuwa simu zisizoingia maji bado ni ghali sana, simu yako ikiingia maji unaweza ukaiokoa kwa kufanya yafuatayo. Itoe kwenye maji Izime alafu ilaze kwenye kitambaa laini au tishu nzito alafu toa kava la nyuma na betri (kama unaweza kufungua simu yako) Pia, ondoa SIM card, memory card, kava za simu...

Forbes: Hawa ndio Mabilionea 25 matajiri zaidi Afrika 2017

Mfanyabiashara kutoka Nigeria Aliko Dangote bado ndiye mtu tajiri zaidi barani Afrika kwa mujibu wa orodha ya mabilionea mwaka 2017 iliyoandaliwa na jarida la Forbes. Utajiri wa Dangote unakadiriwa kuwa jumla ya $12.2 bilioni. Kuna mabilionea (wa Dola) 25 mwaka huu barani Afrika, mmoja juu ya 24 waliokuwepo mwaka jana. Wafanyabiasha kutoka Nigeria Femi Otedola na Abdulsamad Rabiu hawakufanikiwa...

Ishu ya kutaja majina ya mashoga waziri afunguka haya.Soma hapa👇👇

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla kwa mara ya kwanza ametoa sababu ya yeye kushindwa kuweka wazi orodha ya watu wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga) Amesema hakuweza kuyataja hadharani majina hayo kwa kuwa alisikiliza ushauri aliopewa na jamii inayomzunguka. “Mimi nashaurika, sikuweka majina hadharani kwa sababu nashaurika,...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya March 22

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us