KINGAZI BLOG: HOME NEWS

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...
Showing posts with label HOME NEWS. Show all posts
Showing posts with label HOME NEWS. Show all posts

Wednesday, 24 May 2017

MPYA :TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA KUJENGA TAIFA

 


Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.
 Sanjari na Uchanguzi huo, JKT limewapangia Makambi watakayokwenda kupatiwa mafunzo kwa muda wa miezi mitatu na wanatakiwa kuripoti Makambini kuanzia tarehe 25 – 30 Mei 2017.
 Vijana waliochanguliwa, wamepangiwa katika kambi za JKT Rwamkoma – Mara, JKT Msange – Tabora, JKT Ruvu – Pwani, JKT Makutopora – Dodoma, JKT Mafinga – Iringa, JKT Mlale – Ruvuma, JKT Mgambo na JKT Maramba – Tanga, JKT Makuyuni – Arusha, JKT Bulombora, JKT Kanembwa na JKT Mtabila – Kigoma.
 Aidha, wahitimu wenye ulemavu wa kuonekana kwa macho (physical disabilities) wanatakiwa kuripoti kambi ya JKT Ruvu iliyopo Mlandizi mkoani Pwani ambayo ina miundombinu ya kuhudumia watu wa jamii hiyo.

JKT linawataka vijana hao kuripoti wakiwa na vifaa vifuatavyo:
  1. Bukta ya rangi ya ‘Dark blue’ yenye mpira kiunoni (lastic), iliyo na mfuko mmoja nyuma, urefu unaoishia magotini, isiyo na zipu.
  1. Raba za michezo zenye rangi ya kijani au blue.
  1. Shuka mbili za kulalia zenye rangi ya blue bahari
  1. Soksi ndefu za rangi nyeusi.
  1. Nguo za kuzuia baridi kwa waliopangiwa mikoa yenye baridi.
  1. Track suit ya rangi ya kijani au blue.
  1. Nauli ya kwenda makambini na kurudi majumbani.
Mkuu wa JKT anawakaribisha Vijana wote waliochaguliwa ili waweze kujiunga na Vijana wenzao katika kujifunza Uzalendo, Umoja wa Kitaifa, Stadi za kazi, Stadi za maisha na Utayari wa kulijenga na kulitumikia Taifa letu.


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano,
Makao Makuu ya JKT,
Tarehe 22 Mei 2017




 BONYEZA HAPA KUONA MAJINA YOTE

TAARIFA; IDADI YA WANAFUNZI WATAKAOJIUNGA NA JKT (MUJIBU WA SHERIA) 2017 KUPUNGUA KWA ASILIMIA 52%

 




Number of Form Six leavers joining National Service drops by 52 per cent


Dar es Salaam. The number of Form Six leavers joining the National Services, has dropped from 31,900 in 2014 to 14,747 in 2015, the Parliament was told on Tuesday.

This represents 52 per cent decline. The Minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, told the Parliament that 31,900 students out of 41,968 who completed their advanced level education in 2014 joined the national service compared to 14,747 students, who completed their advanced level education joined the national service.

Dr Mwinyi was responding to a question from the Newala Member of Parliament, Mr George Mkuchika, who sought to know the number of youths, who joined National Service in a period between 2013 and 2016.

According to Dr Mwinyi, the decline in the number is attributed to a number of challenges including lack of funds.

He added that the government was working on addressing the challenges to make sure that all Form Six leavers joined the national service.

Source; The citizen

BREAKING NEWS !!!!!HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WANAOJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU 2017






PUBLIC NOTICE: THE LIST OF SELECTED FORM SIX STUDENTS TO JOIN JKT 2017



The number of Form Six leavers joining the National Services, has dropped from 31,900 in 2014 to 14,747 in 2015, the Parliament was told on Tuesday.


This represents 52 per cent decline. The Minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, told the Parliament that 31,900 students out of 41,968 who completed their advanced level education in 2014 joined the national service compared to 14,747 students, who completed their advanced level education joined the national service.

The list of Form Six leavers joining the National Services is now avaialble on JKT website, Kindly click on the link below to view the full list of the selected students
BONYEZA HAPA KUONA MAJINA YOTE
UKIHITAJI KUANGALIZIWA JINA LAKO NA KAMBI ULIOPELEKWA KWA HARAKA NA URAHISI ZAIDI WASILIANA NASI 
KWA NAMBA 
0621121561/ 0755542721 

GHARAMA KWA SH 1000/=
UTAJIBIWA NDANI YA DAKIKA MOJA.KUEPUSHA USUMBUFU 

SHARE HABARI HII KWA WENGINE
 
TUMA JINA LAKO KAMILI  NA SHULE 
ULIOSOMA 

Monday, 8 May 2017

FUATILIA LIVE: Maombolezo ya msiba wa kitaifa wa wanafunzi wa Lucky Vicent, Arusha kutoka uwanja ya sheikh amri abeid karume

May 8, 2017 Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anaongoza waombolezaji waliokusanyika katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha kuomboleza vifo vya wanafunzi zaidi ya 30 wa Lucky Vicent waliofariki katika ajali ya gari baada ya basi walilokuwa wanasafiria kutumbika kwenye korongo.
Unaweza kufuatilia LIVE hapa kwa 
kubonyeza play…
R

Picha za wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja wa Shule ya Lucky Vicent waliofariki katika ajali ya gari Karatu mkoani Arusha


Juzi wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha walifariki dunia majira ya saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.

Sunday, 30 April 2017

MAJINA YA WALIONA VYETI FEKI TANZANIA NZIMA HAYA HAPA NA WILAYA WANAZO TOKA.


Image result for VYETI FEKI


Baada ya Rais Magufuli kusema majina ya watumishi walioghushi vyeti yaanikwe; sasa yamewekwa hadharani.

Orodha ni hii hapa

Attached Files:

Thursday, 27 April 2017

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA IKULU KUHUSU SUALA LA UHAKIKI WA VYETI.


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
                 KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU
    OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Simu : +255-22-2114512, 2116898
Tovuti : www.ikulu.go.tz
Faksi : 255-22-2113425


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kesho tarehe 28 Aprili 2017, atapokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa Watumishi wa Umma katika Ukumbi wa Chimwaga Mkoani Dodoma.
Taarifa hiyo itawasilishwa kwa Mheshimiwa Rais na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Angellah Kairuki.
Zoezi la uhakiki wa vyeti kwa Watumishi wa Umma liliendeshwa na Serikali kuanzia Mwezi Oktoba mwaka 2016.


Jaffar Haniu,
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU,
Chamwino, Dodoma.
27 Aprili, 2017

Monday, 24 April 2017

TZ among top best countries for investment in Africa.


The Index was produced by Quantum Global’s independent research arm, Quantum Global Research Lab indicating Botswana as the most attractive destination, Morocco second, Egypt third, and South Africa on fourth position. Botswana scores highly based on a range of factors that include improved credit rating, current account ratio, import covers and ease of doing business.




Image result for TANZANIA
TANZANIA has featured in a list of top ten most attractive for investment flowing destination into African continent, emerging the only state from East Africa bloc.

According to Africa Investment Index 2016, Tanzania was slotted on position eight ahead of Namibia and Burkina Faso, but below Algeria (on position 7), Cote d’Ivoire (6) and Zambia (5).


Image result for TANZANIA
Quantum Global Research Lab Head, Prof Mthuli Ncube, said Botswana strategic location, skilled workforce and a politically stable environment attract the attention of international investors leading to a significant influx of FDI.

“Despite external challenges and the fall in oil prices, many of the African nations demonstrate an increased willingness to achieve sustainable growth,” Prof Ncube said in release issued yesterday. The head said the states willingness to grow based on diversifying their economies and introducing favourable policies to attract inward investments.

Image result for TANZANIA
According to the report, the top five African investment destinations attracted an overall FDI of 13.6 billion US dollars. Prof Ncube said “with a population of over one billion people and rapidly growing middle class, Africa clearly offers significant opportunities.”


He said most FDIs went to invest in the continent’s non-commodities sectors such as financial services, construction and manufacturing amongst others. Other East African economies, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi and Sudan featured neither on top nor bottom tens.


The worst country that attracted less FDI in 2016 was Somalia followed by Eritrea and Central African Republic and South Sudan. Others from worst to best are Sierra Leone, Liberia, Malawi, Equatorial Guinea, Gambia and Madagascar.
Image result for TANZANIA
The Index looks on increasing solid economic growth, strategic geographic positioning, increased FDI, import cover ratio, significant domestic investment, access money supply and an overall favourable business environment.


 

Gallery

Popular Posts

About Us