KINGAZI BLOG: 05/07/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 7 May 2017

Simulizi ya Mzee wa Miaka 127..Anadai Aliiona Vita Vyote vya Dunia na Majimaji Vikipigwa...!!!

WAKATI Dunia ikiwa imeaminishwa kuwa binadamu aliyeishi miaka mingi alikuwa anatoka nchini Italia na amefariki hivi karibuni, ameibuka mzee mmoja mkazi wa Kijiji cha Majengo, Kata ya Ihanda Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya ambaye ana miaka 127. Mzee Ambilikile Mwanyaluke Panja, anaishi kitongoji cha Izyiga takribani kilomita mbili kutoka Kituo cha Mabasi cha Ihanda upande wa Magharibi, na hajiwezi kwa...

TUMEKUWEKEA MAJINA YOTE YA WATOTO WALIOFARIKI

Timekuwekea majina ya watoto wote waliofariki kwenye ajali arusha...!! ...

MAGAZETI YA TANZANIA YALICHOANDIKA LEO MAY 7 2017.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us