KINGAZI BLOG: 04/10/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 10 April 2017

Kauli ya Halima Mdee Baada ya Askofu Gwajima Kumtaka Amuombe Radhi Spika wa Bunge

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dr. Josephat Gwajima jana  alijitokeza hadharani mbele ya waumini wa kanisa lake na kumtaka Halima Mdee Mbunge wa CHADEMA kumuomba radhi Spika wa Bunge Job Ndugai kwa maelezo kuwa alimtukana. Gwajima alisema, kama hatafanya hivyo, basi ataitumia Jumapili Ijayo 'kumchapa' Hadharani  Kutokana na madai hayo, Halima Mdee amejitokeza hadharani na kumjibu...

Gwajima Amchana Diamond..Amhusisha na Freemason..Habari Katika Magazeti ya Leo 10/4/2017..!!!

...

Wanaoniita shujaa watanigeuka - Nape Nnauye

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amedai wanaomuita shujaa leo ipo siku wanaweza kumgeuka kwa sababu kama binadamu bado ana safari ndefu na anaweza kujikwaa ndiyo maana hataki kulivaa jina hilo bali anahitaji watanzania waendelee kumuombea. Akizugumza akiwa Mtama Mh. Nnauye amesema hawezi livaa jina hilo  bali amelipokea kwakuwa wananchi wameamua kumpatia jina hilo kwani hata sababu za kuitwa jina...

Kimenuka!!! Hivi umeona alichokiandika Diamond kuhusu shetta?? SOMA HAPA

HEBU SOMA HAPA👇👇👇 ...

NOMA SANA!!RC PAUL Makonda Aandika Ujumbe Huu Wenye Fumbo Ndani yake

RC wa Dar Ameandika ujumbe wa mafumbo kupitia ukurasa wake wa Instagram, Haijaeleweka na Nani analegwa hapo..Embu jisomee na wewe labda unaweza tegua mtego By @paulmakonda  "Hakuna kitu kibaya kama kudanganywa na mtu huku ukijua anakudanganya na wakati huo huo anaekudanganya hajui kama unajua anakudanganya. Basi kazi yako inakuwa nikucheka kimoyomoyo"  . TOA MAONI YAKO HA...

Roma Mkatoliki Usiposema Ukweli Leo, Wakatoliki Halisi Tutausema Jumanne..!!!

Leo tunataka kusikia yafuatayo..wale watu wawili waliokuja kukuhoji kwanini walikuwa hawakujui je walielekezwa na nani kwako?..mlipoingia ndani ya ile noah kwanini nyote mlifungwa vitambaa vichwani na mkaja kufunguliwa mlipoingizwa katika nyumba ya kwanza mikocheni na siku mbili baadae mkahamishiwa katika nyumba iliyopo Oysterbay.. Kwanini kati yenu wote ni wewe tu ndiyo uliyepigwa sana na virungu...
 

Gallery

Popular Posts

About Us