KINGAZI BLOG: 03/24/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 24 March 2017

VIDEO: Rais Magufuli Katoa ONYO Kwa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Wakati akiwaapisha Dr Harrison Mwakyembe na Prof Palamagamba Kabudi, Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John P. Magufuli, leo amewaapisha Dr Harrison Mwakyembe na Prof Palamagamba Kabudi pamoja na mabalozi kadhaa Ikulu Jijini Dar. Mwakyembe ameapishwa kuwa Waziri mpya wa habari, Profesa Kabudi kaapishwa kaapishwa kuwa waziri wa Katiba na Sheria. ==>Haya ni mambo machache aliyoyasema Rais Magufuli Leo 1.Kuna wengine walisema Kinana leo angezungumza...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya March 24

...

Umeipata hii!! Tanzania kuanzisha Kiwanda cha kutengeneza Mabasi.

Balozi wa Hungary hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Lazaro Eduard Mathe amemhakikishia Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli kuwa nchi yake ipo tayari kushirikiana na Tanzania katika kuendeleza sekta ya viwanda Pia Balozi huyo amemuhakikishia kwamba wawekezaji kutoka Hungary wameanza kufanya mchakato wa kujenga kiwanda cha kuunda mabasi ya abiria. Mhe. Lazaro Eduard Mathe amesema...
 

Gallery

Popular Posts

About Us