KINGAZI BLOG: 02/23/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 23 February 2017

UTARATIBU: jinsi utakavyoweza kuhama mtandao bila kubadili namba ya simu

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imezindua mpango maalum unaomuwezesha mteja kuhama mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu, na kueleza hatua 13 za kufuata ili kupata huduma hiyo. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi James Kilaba, akizungumza na wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari jana jijini Dar es Salaam, alisema huduma hiyo ni ya hiari na ili mtu...

TCU Yatoa majina ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao hawana sifa ya kuendelea na masomo

Download    Hapa chini ni majina ya wanafunzi wanaoendelea na masomo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambao hawana sifa. Download Kuweza kuona majina zaidi ya wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali, bonyeza jina la chuo husika hapa chini kwenye orodha. Download [45.61 K...

Wanasayansi wagundua sayari nyingine saba

 Sayari zingine saba zagunduliwa anga za mbali Wataalamu wa masuala ya anga za juu wa Marekani wakishirikiana na wengine duniani, wamefanya ugunduzi mkubwa wa sayari saba zenye ukubwa sawa na wa Dunia ambazo zinaizunguka nyota mojawapo kama ilivyo kwa dunia kulizunguka jua. Wanasayansi hao wa anga za mbali kutoka Marekani, Uingereza na Ubelgiji, wamebainisha kuwa sayari hizo saba walizozigundua...

IJUE HISTORIA FUPI YA FREEMASON

Ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao. Kwenye maelezo yao kwa nje Free masons wanajitangaza kama shirika zuri tu. Naomba niorodheshe mambo machache niliyoambiwa kuhusiana na Freemasonry. 1....

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya February 23

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us